Geofre Maseta
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 881
- 1,632
Nimeshafika hapo hivyo ndo hapo hapo ...msione aibu kukataliwa na wananchi ... JitafakariniUlishawahi kufika au hua unapasikia tuu?
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshafika hapo hivyo ndo hapo hapo ...msione aibu kukataliwa na wananchi ... JitafakariniUlishawahi kufika au hua unapasikia tuu?
swali lako ni la kijingaUlishawahi kufika au hua unapasikia tuu?
Sijakuuliza wewe, mbona una kisebengo mkuuNimeshafika hapo hivyo ndo hapo hapo ...msione aibu kukataliwa na wananchi ... Jitafakarini
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Huo ndo ukweli yaani sahivi ccm na chadema hawapishani,Hata sijui unaandika nini ! Jiwe ambaye hakuwahi kuwa hata katibu kata anawezaje kuondoka na ccm ?
Kwa nini ni la kijinga mkuuswali lako ni la kijinga
Umeishia darasa la ngapi ?uwo ndo ukweli yaani sahivi ccm na chadema hawapishani
hata huyo lissu ukiachilia ubunge aliokuwa nao uliopelekea akatunguliwa shaba hana tena jipya kwenye siasa za sahivi
ni porojo tu za kujitafuta
nawewe umeishia kidato ganiUmeishia darasa la ngapi ?
Kwa hiyo Erythrocyte umegeuka mwana CCM?Hata sijui unaandika nini ! Jiwe ambaye hakuwahi kuwa hata katibu kata anawezaje kuondoka na ccm ?
Chadema ilikuwa kitaifa!Nilicho kishudia nikuwa hapakuwa na vibe kama la Chadema.Watu walikuwa hawana furaha
Kwani siku hizi malori hayapo?Ushahidi huu hapa , mimi sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 2506507View attachment 2506508View attachment 2506509
Wasukuma watakubali kufanywa watu wa mwisenge kweli? Nadhani hamuwajui vizuri watani zangu!mwanza 2025 tunaenda kuichukua asbh tu ... Wasukuma og wameichoka ccm ...
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Yapp ila wananchi wamechoka kupewa azam colaKwani siku hizi malori hayapo?
Kwani ni mara ya kwanza CHADEMA KUITEKA MWANZA ?Wasukuma watakubali kufanywa watu wa mwisenge kweli? Nadhani hamuwajui vizuri watani zangu!
mwanza 2025 tunaenda kuichukua asbh tu ... Wasukuma og wameichoka ccm ...
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo huwa una maswali yako maalumu kwa ndugu zako humu JF?Sijakuuliza wewe, mbona una kisebengo mkuu
CCM hoyeee [emoji23]Ushahidi huu hapa , mimi sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 2506507View attachment 2506508View attachment 2506509
Hayo manguo Yao yashaanza kuchunda, muda si mrefu wataanza kulambwa bakora kitaa
Zama zile tulipoiteka tulikuwa hatufungamani na sera za umwisenge, tulikuwa chama cha kawaida kabisa.Kwani ni mara ya kwanza CHADEMA KUITEKA MWANZA ?
Ungejua nisivyoipenda CCM hata usingesumbuka kunijibu maelezo mareeefu hivyoPicha rasmi ni ile inayoonyesha Umati halisi,wakati mkutano ukiendelea!
Pia tungeona wahutubiaji wa mkutano,ndio tungepata uhakika wa tukio!
Picha hizi zote zimepigwa muda usiojulikana,huenda ilikuwa mapema kabla ya muda rasmi.
Kwa sababu,mpigaji tayari alikuwa na lengo rasmi la kuitumia picha yake!
Kujaribu kujibu mapigo ya kudorola kwa mikutano ya Chadema kanda ya Ziwa.
Jambo ambalo bado linaisumbua Chadema mpaka sasa!
Pia hata kwa umati huo,ukizingatia kwa sasa,wananchi hawatofautishi kati ya "Chadema" wala "CCM-Asali" kwa sababu kati ya hao hakuna mtetezi wao.
Bali genge la walamba asali.
CCM halisi aliondoka nayo huyu mwamba
[emoji116][emoji116]
View attachment 2506525