tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Alikua mhamiaji mwanza au amepatia pesa hapohapo mwanzaAlikuwa na dharau sana ,hata kesi yake hukumu kuchelewa naona kulikuwa na mazingira ya halufu ya rushwa toka 2015 ,hukumu ndio imesomwa ila tunashukuru haki imetendeka
sent from toyota Allex
Aliwa double cross katika dili ,wakaja kudai chao ...mchana kweupe akawachapa risasiChanzo cha kuwapiga risasi ni nini?
Haki imetendeka najua kwa muda wote huo aliokuwa mahabusu alishapata mume
Sent using Jamii Forums mobile app
niliwah kutembelea mahabusu butimba, huyu labda apate mke alikua mtata fika, sjui ukiingia usiku labda mambo hubadilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Zakaria umri umeenda amekua ameacha ubabe,sijui aliwakosea nn had akatumiwa wasiojulikana silaha yake ikamuokoa wasiojulikana wakaomba po,mmoja wa wasiojulikana kule ikulu hakufai tena anaishia kula Kwa mkonoHaki imetendeka maana mie namjuwa vizuri huyo jamaa tangu akiwa uraiani na hata alipokuwa gerezan Butimba Kama mahabusu maana nilijichanganya siku moja kisa mazingira ya kazi sasa ili kuonekana ni uhalisia nikaenda zangu Butimba siku 4 nililala chumba kimoja na huyo jamaa tena tukapiga na story sana tu baada kula maharage siku kadhaa nikatoka asubuhi na mapema bila remove oder na kirungu kimoja maana nilitka na namba za watu kwa ajili ya kufanya mawasiliano na ndugu zao waje kuwasaidia, Hivyo huyo J4 namjuwa fika alikuwa jeuri balaa kama alivyokuwa mwenzake Zakaria japo siku hizi ndio hivyo tena kama mnavyojuwa kifaranga kikipitiwa na mwewe huwa hakina Jeuri tena ni kuanza kuishi kwa matumaini ila sio kwa jeuri tena na uhakika
Walizulumiana diliChanzo cha kuwapiga risasi ni nini?
Miaka mi5 ni mingi mno kwa uhai wa mwanadamu.Sasa kwanini justice imekuwa delayed namna hiyo? Five f*cking years mtu yupo mahabusu tu.
Dah ni noma sana hii mzee. Yani ndio maana watanzania wengi hawapendi mambo ya kesi kwasababu ya danadana za legal systems zetu. Mtu anaamua kumwachia Mungu tu kuliko kupoteza muda na police na mahakama.Miaka mi5 ni mingi mno kwa uhai wa mwanadamu.
Hiyo kanuni ya delay hukumu kwenye muder case ni kwa ajili ya kukunyong'onyeza, hadi utambue kwamba dunia imekutenga!
Pili munkari wa ndugu za decesed ukute washapoapoa ama nao baadhi yao kuitwa mbele za haki na kupunguza ngebe.
Kifupi, hakuna kesi yenye adha hapa Tz kama kesi ya mauaji, uwe nacho ama usiwe nacho!
Ukijibaini umeua na umedakwa, tuliza munkari, bwaga moyo, penda mahabusu kuliko nyumbani kwako, askari jela na nyampara wapende kuliko unavyowapenda ndugu zako, badili tabia '(alter your psycology)' tena utulizane!
Hapo usipoangalia kwa hawa polisi na wanasheria vishoka ni fursa!
Kila mmoja hata asiyekuwa na msaada wowote kwako atapritend kuwa ana uwezo mkubwa sana wa kukusaidia.
Utanyongwa ama kutoka gerezani ukiwa hohehahe usiye na mbele wala nyuma kwa sababu ya hao watu,watakufirisi wakuache mtupu kabla ya hukumu kwa matumaini kwamba 'utasevu', hiyo ni ndoto ya mchana kweupe.
Utakufa na chawa zako mwilini ukiwa umetengwa na kila mtu.
Ndg zangu tuombeni kila kukicha na bila kuchoka ili M/Mungu atuepushe na balaa la kesi ya mauaji ya kukusudia, nchini Tz ni balaa.
Kuua kwa bahati mbaya, sijui kujihami, kuua mwizi, ama mauaji yaliyomo kwenye trafic case, hiyo ni issue nyingine na sijaiongelea hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante waliopitia magereza wamekuelewa hapa..anakaa jela Kama mwaka mmoja iv afu anakata rufaa..amini kwamba anatoka kiulainiHapo sheria imechukua mkondo wake lakini bana haya mambo haya si ajabu akaja kukata rufaa na akashinda.
Kabisa Mkuu.Asante waliopitia magereza wamekuelewa hapa..anakaa jela Kama mwaka mmoja iv afu anakata rufaa..amini kwamba anatoka kiulaini