Mwanza: Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo na wenzake waachiwa kwa dhamana kutoka Polisi

Mwanza: Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo na wenzake waachiwa kwa dhamana kutoka Polisi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Dinna Maningo.jpeg
Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo pamoja na wenzake Waandishi wa Habari wawili wameachiwa huru baada ya kushikiliwa kwa zaidi ya wiki moja.

Taarifa zaidi zinafuata...

~ Hii kamatakamata ya Waandishi wa Habari na ukimya wa Polisi, ni hatari kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari
~ THRDC: Mwandishi aliyekamatwa akidaiwa kutumia nyaraka za siri bado hajapewa dhamana
 
Walikuwa wanashikiliwa kwa makosa gani?
 
WALE WABUNGE WA MWANZA MJINI WAPO WAWILI WAONE HIVO HIVO.KAGAME ANASUBIRI KWA ROHOO ZAO MBAYA
 
Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo pamoja na wenzake Waandishi wa Habari wawili wameachiwa huru baada ya kushikiliwa kwa zaidi ya wiki moja.

Taarifa zaidi zinafuata...
Badala ya kumkamata Askari Polisi aliyevujisha Nyaraka za Siri za Serikali humu mtandaoni wanawakamata Waandishi wa Habari ambao ni Watu wema waliofichua uovu.
Watu Waovu wanatetewa na Watu wema (Raia wema) wanaadhibiwa.
 
Jeshi la polisi linatia aibu kwa namba lonavyofanya kazi kwa kivunja sheria na taratibu.

Yaani mpaka watu waende mahakamani kulazimisha dhamana??

Vipi kwa wale wasio na uwezo wala mtu wa kuwapigia kelele? Si wanafia mahabusu huko miaka na miaka?

Mambo ya kipumbavu kabisa.
 
Hii nchi tupo kwenye state capture. Yani ubaya unafanyika lakini wabaya wanalindwa na Dola .
 
Back
Top Bottom