Mwanza, Mwanza Mwanza mie leo mgeni wenu

kwahyo mkuu wewe unawasema wale ambao wakisafiri na wakalala nyumba ya wageni inaitwa “lodge” huwa hawakubali kulala wenyew. watahakikisha lazima wanyamdue
Ogopa kuvamia kuna mengi humo
Mapepo
Nuksi
Mikosi
Magonjwa
Kimavi
Kikwapa
Kuibiwa nknk
Kati ya hayo yote lazima utoke na mojawapo
 
sasa kwa maisha ya “An african man” huwa analala na wanawake wengi inamaana atakuwa anabeba mikosi mingi kiasi hiko au?
Ukimpata mmoja muulize changamoto zinazomkabili uone
Pesa haikai
Mandoto ya ajabu
Mikosi isiyoisha
Amesafiri hana kikwapa ghafla karejea kwake anacho
Kasafiri hanuki mdomo karudi mdomo kama choo cha jiji[emoji16]
Kaondoka salama nyumbani karudi mkono hautoki huko chini, ni ukurutu, fangasi, mba na kujikuna nk
 

ujue unanitisha kwasababu huwa nasafiri sanaa mbali na home.

Kwahyo tufanyeje sasa kutopata mikosi mana kukaa na ngenye kipengele
 
ujue unanitisha kwasababu huwa nasafiri sanaa mbali na home.

Kwahyo tufanyeje sasa kutopata mikosi mana kukaa na ngenye kipengele
Linda manii zako kadiri uwezavyo, kuchepuka kunakupunguzia usafi na afya ya kiroho! Nioneshe changudoa tajiri, lakini kila siku anapata si chini ya 50 isiyo na tozo wala kodi na hapo keshakula keshakunywa
Unajua ni kwanini wafalme huoa bikira? Hawataki kugawana nguvu kiroho na wengine
Unaweza ukapona na yote lakini HIV na Hepatitis B visikuache.. Ni mara chache ukaokoteza na kutoka salama salimini
 
Mshana Jr nimegundua wewe wajua sana mambo ya rohoni.
Huu uzi umeuanzisha kwa makusudi kuwa wenyeji wakukaribishe ili uwe salama.
Umeshinda mkuu hutaguswa na chochote Mwanza
 
Mshana Jr nimegundua wewe wajua sana mambo ya rohoni.
Huu uzi umeuanzisha kwa makusudi kuwa wenyeji wakukaribishe ili uwe salama.
Umeshinda mkuu hutaguswa na chochote Mwanza
[emoji3][emoji1545] Thanks Glenn mpaka sasa niko salama na sijachepuka[emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…