Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaani kabla hata ya nyakato sokoni!Unapita national?
Mi nilikuwa najipanga nije maana mambo yamegoma kabisa huku sielewi....sa itakuwaje🙆🙆🙆Nilishakigawa mbona tangu last year?
Kanda ya ziwa ndio kuzuri kule, nadhan atarudi mzito... Alishaanza kuwa mwepesi wateja wakanza kukimbilia kwa kuhani!!Kilinge kinasoma taarifa mbovu acha akasake kwa mawimbi ya kanda ya ziwa labda chenga chenga zitapungua
Bwana Yesu apewe sifa, ingekuwa zamani ningesema wasalimie GamboshiNimeokoka silogi tena
Keshasema ameokoka, ameacha uloziKanda ya ziwa ndio kuzuri kule, nadhan atarudi mzito... Alishaanza kuwa mwepesi wateja wakanza kukimbilia kwa kuhani!!
Unaenda kusabahi wanavilinge wenzio😂😂😂Huko J5 just kusabahi tu lakini
Hahahahaaa! Mshana Jr ni kweli hili😂😂😂Ndo wewe nakuon apa stand ume beba shangazi kaja una piga selfie stand yetu mpya
Haha...najua utakuwa umeji guard vya kutosha maana huku na wenyew wako vzur ... all in all karbu sanaAsante mtani nimejilipua [emoji23]