Mwanza, Mwanza Mwanza mie leo mgeni wenu

Mwanza, Mwanza Mwanza mie leo mgeni wenu

Mkuu saa tano utakuwa nata!

Chukua boda hapo waambie wakulete MWANZA LIVE!

utakuta nimekuandalia balimi tano za baridi na watoto wawili wakali wakuondolee uchovu wote wa safari!!
[emoji173][emoji173][emoji173] na zamani mkuu ila sasa nina kiroba cha tunguli sijui takiweka wapi
 
[emoji173][emoji173][emoji173] na zamani mkuu ila sasa nina kiroba cha tunguli sijui takiweka wapi
Mkuu umesema mambo ya matunguri ulishaacha!![emoji1787][emoji1787]

We karibia sana hapa mwanza live!!

Tena acha nianze kujisogeza mdogo mdogo ili unikute[emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu umesema mambo ya matunguri ulishaacha!![emoji1787][emoji1787]

We karibia sana hapa mwanza live!!

Tena acha nianze kujisogeza mdogo mdogo ili unikute[emoji1787][emoji1787]
Ni ya mteja mkuu mimi ni mbebaji tuu
 
Ukitoka stand ya zamani ya buzuruga unapandisha hiyo msoma road kabla hujafika nyakato sokoni mkono wa kushoto!

Hapo kuna warembo wa kila aina na kila saizi[emoji1787][emoji1787]
Wengi wao ni waathirika wa UTI na HIV
 
Screenshots_2023-05-08-19-28-20.jpg
 
Back
Top Bottom