Bahati nzuri umeingia usiku ukajionea mighorofa mpaka milimani na kujisemea Mwanza jiji zuri sana![emoji3][emoji1545] Thanks Glenn mpaka sasa niko salama na sijachepuka[emoji1545]
😂😂😂😂 nimekusoma kaka😂😂
Ngoja kuche na nina Google pixel Shimba ya Buyenze atakoma [emoji23]Bahati nzuri umeingia usiku ukajionea mighorofa mpaka milimani na kujisemea Mwanza jiji zuri sana!
Ngoja kukuche uitazame ile mighorofa ya usiku utaishangaa Mwanza kumbe ni.Kijiji!
Nipe bei elekezi ya utelezi ya pale SheteKaribu, utanikuta SHETEMBA BAR nakula bia!
Hii seminar usiondoke bila kutupatika ana kwa ana, sisi wanamwanza.Ukimpata mmoja muulize changamoto zinazomkabili uone
Pesa haikai
Mandoto ya ajabu
Mikosi isiyoisha
Amesafiri hana kikwapa ghafla karejea kwake anacho
Kasafiri hanuki mdomo karudi mdomo kama choo cha jiji[emoji16]
Kaondoka salama nyumbani karudi mkono hautoki huko chini, ni ukurutu, fangasi, mba na kujikuna nk
Mwanza ndio jiji kubwa la pili Tanzania mkuu.Bahati nzuri umeingia usiku ukajionea mighorofa mpaka milimani na kujisemea Mwanza jiji zuri sana!
Ngoja kukuche uitazame ile mighorofa ya usiku utaishangaa Mwanza kumbe ni.Kijiji!
Kabla ya boma na kabla frolida!Bom au
Linda manii zako kadiri uwezavyo, kuchepuka kunakupunguzia usafi na afya ya kiroho! Nioneshe changudoa tajiri, lakini kila siku anapata si chini ya 50 isiyo na tozo wala kodi na hapo keshakula keshakunywa
Unajua ni kwanini wafalme huoa bikira? Hawataki kugawana nguvu kiroho na wengine
Unaweza ukapona na yote lakini HIV na Hepatitis B visikuache.. Ni mara chache ukaokoteza na kutoka salama salimini
Where is +255 sweater.
Post in thread 'Aina za manii kwenye ushirikina na kazi zake' Aina za manii kwenye ushirikina na kazi zakekwahyo nikiwa napiga nje niwe nabeba manii zangu kwny ndomu hapo vipi?[emoji23]
kwahyo mkuu unataka kunambia wewe hupigagi nje mkuu?
Beba janaba zako sepa nazo
Post in thread 'Ushirikina katika ngono na Manii' Ushirikina katika ngono na Maniihilo somo zuri.
Kwahyo kwa mtu ambaye tushachakaza sana na tumestuka mida hii tunafanyeje kujikomboa kiroho ili roho zetu zitoke huko tulikoziacha
Bonushilo somo zuri.
Kwahyo kwa mtu ambaye tushachakaza sana na tumestuka mida hii tunafanyeje kujikomboa kiroho ili roho zetu zitoke huko tulikoziacha