Jitukali 333
Member
- Jul 11, 2019
- 44
- 29
Nakubaliana na wewe, mtoto ukimzaa jitaidi kumlea mwenyewe sio kuwaachia ndugu zako wakulelee.Hizi mambo za kupeleka watoto kwa mashemeji sio sawa kabisa.
Binaadam ni wanyama sana, watoto wanaharibiwa na watu wa karibu, wajomba na mashemeji, mabinamu sijui, yaan zile tabia za kulaza watoto wetu na wageni sio sawa kabisa. Huyo jamaa akabidhiwe kwa wananchi tu wao ndio wampatie hukumu
Watu wamekuwa mashetani mno yani hata ukimlea mwenyewe bado tu kuna mabaradhuri yataleta balaa.Nakubaliana na wewe, mtoto ukimzaa jitaidi kumlea mwenyewe sio kuwaachia ndugu zako wakulelee.
Naongezea" JAMAA NI DEEN GANI?"Jamaa wa chama gani huyo?
Kweli mkuuAmbaye hayaangalii Nani siku hizi wote wadau wazuri
Hao ndio ccm bwana,yani chama kunejaa majambazi,wabakaji,wauza papa,mafisadi....ccm mbele kwa mbele[emoji444]Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kanami, Kijiji cha Isangijo wilayani Magu Mkoani Mwanza Robert Mfungo anatuhumiwa kumbaka shemeji yake ambae ni mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka kumi na mbili.
Inaelezwa Mke ambaye ni Dada wa Mtoto huyo pamoja na majirani waligundua Unyama huo na kuamua kukaa kimya
CloudsDigitalUpdates
----
Naongezea" JAMAA NI DEEN GANI?"
Dada embu punguza munkari basiIle “DEEN” yako pendwa!
Pathetic fools everywhere!!!
Hii sio sababu..Haya mambo huwezi kuta Dar huku washikuriwe dada poa....
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app