The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Chama fulani,Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Jiji la Mwanza Kiomoni Kibamba, amesema watu nane wanashikiliwa baada ya kuchukua kura na kukimbia nazo.
View attachment 3163177
wachukuliwe hatua kali mno za kisheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hiyoWakuu,
Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza ambae pia ni Msimamizi wa uchaguzi katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amesema kuwa baadhi ya vijana katika kata ya Lwahnima wamevamia kituo cha kupigia kura za mwenyekiti na kutoweka nazo ambapo jitihada zimefanywa na watu hao wamekamatwa.
CCM ni MajiziWakuu,
Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza ambae pia ni Msimamizi wa uchaguzi katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amesema kuwa baadhi ya vijana katika kata ya Lwahnima wamevamia kituo cha kupigia kura za mwenyekiti na kutoweka nazo ambapo jitihada zimefanywa na watu hao wamekamatwa.
Ccm ya Nchimbi na MakondašAiseee!!
Kabisa, huu hizi ni games za kitoto kabisaHatuko serious na uchaguzi
Wametumwa na chama tawala wachukuliwe hatua na nani.wachukuliwe hatua kali mno za kisheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hiyo
Yaani hadi aibuKabisa, huu hizi ni games za kitoto kabisa