Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Yule bwege hawezi gundua
Nimemzid akili na maarifa
Hata biashara anayomiliki mie ndo niliibuni na kumpatia sponsor,so hana command kwangu👌
Nilitegemea hii situation kuwepo baina yako na mumeo. Kiufupi hakuna mapenzi bali mnalea watoto tu na kusitiriana 🤣
 
Na mkianza kusemwa masingle mother mnaanza kuumia ni kwasababu ya huu ujinga kama huu mnaofanya
 
Kweli shida ni kubwa
 
financial services Tukiwaambia nyie hamna mdhamana muwe mnaelewa. Huyo mwenzio bila aibu kachagua kunyengwa bila uoga. Ana sneak out chap akirudi mkoani kwa mumewe atajikausha kau kau.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unahamasisha kuwa inawezekana tu bila madhara, usiwadumbukize wote bado kuna samaki hazijaoza mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ulitembea na chaki
 
Dada mbona hujanishtua twende wote?
Kabisa kweli epuka visukari mwaya, kwanza bado unalipa [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Na akijirudisha hamna kumkubali ateseke akufwee [emoji23][emoji23][emoji23]
Si umesema unajiandaa kwenda mlimani city?[emoji23]
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unahamasisha kuwa inawezekana tu bila madhara, usiwadumbukize wote bado kuna samaki hazijaoza mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inauma sana yani unawaza je waifu akinipiga mission impossible itakuwaje? 🤣
 
Kwa hiyo umetoka zako huko uzaramoni kuja kusambaza umeme wa REA mwanza! Wewe ni zaidi ya pepo la ngono aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…