Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Hapana yani kule kujiamini kwake kama mwanaume kumefanya nimpende ghafla
Yani alivyoniita kama demu wake vile,afu alikuwa very calm
Alikuita kwa kujiamini coz alishakuona kua wewe ni cheap na unakamatika kirahisi tu,ungekua umejiweka kiheshima asingekuita hivyo,unaitwa na mtu yupo bandani anakula ugali na mboga kisha unajipeleka kama Mbwa kaona chatu,

Eti nikamkatalia kumpa namba akachukua simu akajibipu!!
 
Hahah kwamba tushakufa?
Kila nafsi itaonja mauti
Si ndomu zipo?siendagi peku👌
Kama umeolewa hapo ulikosea,ungezaa tu halafu uishi singosingo yaani uwe singo madha.Ungeinjoi sana,full kupishanisha madogo,mababa,wazee n.k nyumbani kwako.Wadada au wamama wa hivi,wanafaa sana,ile mtumishi katoka zake kijijini huko,badala akalale loji,anakuja kwako,anakula wewe na msosi,asubuhi anaenda kwenye mishe zilizomleta mjini,akimaliza anasepa.Wanawake wa hivi mnafaa sana,hata watoto wa kiume wanaobalehe inafaa wawe wanawatafuta wanawake kama nyie,wanajifunza kupeleka moto,halafu wanaenda kuoa wanawake wa aina nyingine,yaani wa ndoa.
 
Mjomba kuwa makini na wanaume wenz .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…