Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Unakosea, mapenzi ni hisia ya mtu usinilazimishe ukifanikiwa kumshawishi Missy Gf yaani mama Elusha wangu akaniacha, natafuta pisi nyingine kali zaidi.
Pm nina request kama 25 na qote waamenotumia picha zao lkn nimewaambia mimi mme wa mtu[emoji7][emoji23][emoji23]
Mmmh
 
Sisi tunagombana saa 4 asubuhi ikifika saa 10 jioni tumepatana, akili zetu wote zimeshafanana
Nyie mbinguni siti ya mbele kabisa!maana mnaishi neno la Mungu,mkigombana hakikisheni kabla jua halijazama muwe mmepatana,, good!ila nimegundua nyie familia yangu ni maYuda sana!
 
Unakosea, mapenzi ni hisia ya mtu usinilazimishe ukifanikiwa kumshawishi Missy Gf yaani mama Elusha wangu akaniacha, natafuta pisi nyingine kali zaidi.
Pm nina request kama 25 na qote waamenotumia picha zao lkn nimewaambia mimi mme wa mtu😍😂😂
Oya oya mbona una matisho ss tunatoboa ht week kweli
 
Back
Top Bottom