Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Safi, sasa hapo utulieMtu wangu ni Missy Gf baasi
Nakuhakikishia yule ni mwanamkeTatizo humu Midume yenye ID za Kike ni mingi
Nafurahi umeniunga mkonoSafi, sasa hapo utulie
Sisi tunagombana saa 4 asubuhi ikifika saa 10 jioni tumepatana, akili zetu wote zimeshafanana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hataki!ila na wewe county si alikuachaga?Leo mmerudiana?hayana muongozo bhana
MmmhUnakosea, mapenzi ni hisia ya mtu usinilazimishe ukifanikiwa kumshawishi Missy Gf yaani mama Elusha wangu akaniacha, natafuta pisi nyingine kali zaidi.
Pm nina request kama 25 na qote waamenotumia picha zao lkn nimewaambia mimi mme wa mtu[emoji7][emoji23][emoji23]
Nyie mbinguni siti ya mbele kabisa!maana mnaishi neno la Mungu,mkigombana hakikisheni kabla jua halijazama muwe mmepatana,, good!ila nimegundua nyie familia yangu ni maYuda sana!Sisi tunagombana saa 4 asubuhi ikifika saa 10 jioni tumepatana, akili zetu wote zimeshafanana
Huwa mnachat pm?Tena ile screenshot ndio kila muda ananikumbusha......kaka ulidhalilishwa usirudi nyuma
Achana nae huyo nae kama Haji manara tuπππ€π€π€ mbina ghafla sasa sijajipanga kufall in love
Oya oya mbona una matisho ss tunatoboa ht week kweliUnakosea, mapenzi ni hisia ya mtu usinilazimishe ukifanikiwa kumshawishi Missy Gf yaani mama Elusha wangu akaniacha, natafuta pisi nyingine kali zaidi.
Pm nina request kama 25 na qote waamenotumia picha zao lkn nimewaambia mimi mme wa mtuπππ
Kwahiyo me ni Rushayna wewe ni Rubyina ππππAchana nae huyo nae kama Haji manara tuππ
Ni kweli mwanaume lazima ahonge, Ila yeye kama yeye hana noma sanaKwa hiyo hapa anavyohubiri mwanaume lazima akuhonge kumbe anapotosha tu UMMA?ama Kweli za kuambiwa changanya na zako
Na atoto ni kale kengine kadogodogo sijui kanani kale ka Tanga,hapana chezea Manara.Kwahiyo me ni Rushayna wewe ni Rubyina ππππ
Akiacha mambo ya kunisaliti mdogo bonge la mnyamwezi!Ni kweli mwanaume lazima ahonge, Ila yeye kama yeye hana noma sana
Countrywide huyu Lamomy ni mfogo wangu, sio tu tunachat pm bali hata simu tunapigiana, hajakwambia kuwa mimi ni ahemeji yako?