RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Soon utadakwa. Keep that in mind. Humu wanakufariji ujinga, Mungu hamheshimu mtu.We mbona unaniombea mabaya
Nimekukosea nn?
Baba watoto wangu tunajuana wenyewe tunaishije
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon utadakwa. Keep that in mind. Humu wanakufariji ujinga, Mungu hamheshimu mtu.We mbona unaniombea mabaya
Nimekukosea nn?
Baba watoto wangu tunajuana wenyewe tunaishije
Kweli? Hatari kumbeMkuu wewe jichanganye utakuja kuitiwa mwizi
Una dhambi mamkwe😂😂Mwanza kuna watu kama malaika sio wakaka tu hata wadadaz kuna pisi za kwenda tako kubwa Afrika mashariki na kati niliona Mwanza, sijasahau bado yule dada hata kuchamba hawezi nina uhakika
Kuweko kwake Dar inahalalisha kucheat? Labda sababu ya paragraph ya kwanza .Familia zina siri nyingi, ukweli ni kwamba mwanamke aliyeridhishwa ndani ni ngumu kutoka nje ya ndoa.
Kama nimemuelewa vizuri...mumewe yupo Dar...hujui ni hali gani ya ndoa anapitia, huenda hata amesalitiwa mara kadhaa hii siri ni yake.
Sihalalishi kuchepuka but mwanadamu hufikia point flani ya kuvunjika moyo..
Ironbutterfly yeye ana majibu anapitia nini
Hayo ya kwakoAfu nina wasiwasi we ni kidume unajifanya demu
Bila shaka hizi ndo sifa za mwanamume unayemtaka...Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi,kanizid manake mie nina cm 160
Hana kitambo,ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Afu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Niliandika lini?Kuweko kwake Dar inahalalisha kucheat? Labda sababu ya paragraph ya kwanza .
Huyu demu kashaandika stori za kuchepuka, sio mara yake ya kwanza .
Single mom ama.povu sasa kwa wanaume😆..iron ni single..acheni apate bahati yake jamani
Vijana oeni,wake ndio hawaHabari za asubuh Wana ukumbi
Mweh mweh mweh Nimeingia Mwanza juzi kikazi Nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri bwiru hapo kwa matajiri(kwa wakwe zangu)
Nikaishia atm nitoe kasalio afu nipande boda nimfate shule twende home,wakati naifata atm nikapita Sehemu jirani na mama ntilie mmoja,nikapiga jicho,nikamwona kijana shababi anakula ugali mbogamboga,aliponiona,akaniita we sista njoo,nikamwambia eeh akanambia njoo,nikasema haya👌
Nikaenda akanambia waitwa nani? nikamjibu siongeagi na waume za watu,akanambia mi bachelor,nikamjibu ok ila mie siko singo,akasema usijal,waenda wapi?nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani ndo nimedondoka nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako,nikamwambia sitoi no kwa strangers,akachukua cmu yangu akajibip,akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba,lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu,nikamfikisha home,nafika tu nasalimiana na baba mkwe,jamaa anapiga,nikaomba udhuru nikatoka nje,then nikapokea cmu yake,akanambia ushampokea mtoto,nikamjibu Yap na Niko home,akanambia kamilisha ratiba afu unambia,akakata cmu.
Sikumtafuta manake Niko ukweni kapigaa weeh sijapokea Ila nimemwelewa,kumbe Kuna wasuk.uma mahandsome lol🤣
Sema kutoka kipengele manake Niko ukweni,natamani kukipambazuka nitunge Safari nionane naye,anaonekana mtamu kwa bed
Au nitakuwa nazingua Wana ukumbi?
Una mdumbukiza mwenzio kwenye shimoHongera mkuu,
Nyege zikizidi ni lazima zimalizwe, fanya kuzitoa kwa huyo mhandisome maisha yasonge.
Zamani kwenye nyuzi. Kuna boyfriend wako wa high school mlipendana sana , ukasikia ameoa, ila akija kwenye mkoa wako, akikupigia simu , unaenda lodge, mnapasha viporo. Labda kama kuna iron butterfly wawili humu.Niliandika lini?
Huu nao ni upotoshaji wa kiwango cha juu.. Acha kuendekeza ngono mshahara wake utakugharimu.Kwani amesema kuwa ana mume, mim nimesoma kuwa ana baba watpto wake swala la mume labda aseme tena. Hata hivyo, chuma kikipigwa na moto kinayeyuka tu mkuu.
Nimeanza kuamini ndoa ni Utapeli, ila navomjua Mungu, kama Hii stori si ya kutunga, atadakwa soon ili iwe fundisho kwa wote.Vijana oeni,wake ndio hawa
Alishafanya maamuzi, na mwandiko wake unaonyesha hajaolewa, tumuache afurahie uumbaji mkuu. Game za namna hii ambazo hazikuwa kwenye plan zina raha yake.Una mdumbukiza mwenzio kwenye shimo
Ana mume.Huu nao ni upotoshaji wa kiwango cha juu.. Acha kuendekeza ngono mshahara wake utakugharimu.
Mbona anasema anatoka ukweni?Alishafanya maamuzi, na mwandiko wake unaonyesha hajaolewa, tumuache afurahie uumbaji mkuu. Game za namna hii ambazo hazikuwa kwenye plan zina raha yake.
Imagine kuna wajinga wamemfata hadi pm kumtukana[emoji1787][emoji1787]Wanaume wa Jf Wana wivu wa kiwaki sana aisee