Mwanza one time for new year

Mwanza one time for new year

Nakutamania kweliii 😩😩😩😩😩

Mwanza mji flani umetuliaaa, yaani ukitoka dar ukafika hapo kuna uzito flani kabisa unautua "perfect choice"

Kula dagaa wa kukaanga, ugali laini na mbogamboga flani hivi kwa niaba yangu lakini utalipa mwenyewe 😁.. Enjoy ✊
 
Nakutamania kweliii 😩😩😩😩😩

Mwanza mji flani umetuliaaa, yaani ukitoka dar ukafika hapo kuna uzito flani kabisa unautua "perfect choice"

Kula dagaa wa kukaanga, ugali laini na mbogamboga flani hivi kwa niaba yangu lakini utalipa mwenyewe 😁.. Enjoy ✊
Hahaha mkuu usijali nitakula kwa ushauri wako kwa bill yangu.....
Kweli kabisa mwanza ni mahali sahihi kabisaa
 
Ila watu wa mwanza mna upendo sana na ushirikiano
Ukiweka uzi unaenda mwanza mnajitoa sana kukaribisha wageni...
Respect sana wakuu
Mbarikiwe sana
 
Karibu sana

Umebeba makoti, safari hii mwanza kuna baridi kweli.
 
Wakuu poleni na hongereni kwa heka heka za xmass. Pia heri ya mwaka mpya 2023.
Niko njiani naelekea mwanza kwa mapumziko ya week moja then ntarudi dar es salaam kupambana na maisha.

Kwakweli Mwanza imekuwa nyumba yangu ya pili....mwanza is my bae [emoji813].

This time around nitatamani kuona vivutio vya Kitalii vilivyopo mwanza ikiwemo kuvuka hadi kisiwa cha saa 8.



Maoni ushauri unakaribishwa....View attachment 2463001View attachment 2463002
Mi nakuombea ufike salama na wote mliopo kwenye gari, ikawe furaha kwako na amani pia.
 
Acha mbwembwe fika kwanza salama safari bado changa then tutakupokea kwa supu la sangara,baadae tukupeleke Ziwa Victoria ukaogolee ucheze na mamba kidogo kisha ndo uende huko malaika beach.
huko ndo nyumbani na akina kiberenge karibu mwanza mtoto ujumbe ukiombwa toa.
 
Back
Top Bottom