Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole na safari mkuu. Upo kwenye Ally's hiyo nyeupe au ya orange?Tushapita shyinyanga mda kidogo...sema rto wa sasa mwanza anakazaaa hakuna gari kutokea dar linaruhusiwa kuingia mwanza mjini chini ya saa 6. So wakifika shyinyanga inabidi walale kuvuta muda
Wangosha msituangushe mbususu imejileta muipelekee moto vilivyoUmetuletea papuchi
Ah ata kama ina password bado inaweza kuwa hacked😜😜😜😜😜😜
Si nlishakwambia ina password??
Umefika wapi mgeni tuje tukupokee.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Si nlishakwambia ina password??
Sawa bibie, na mie nadhani kesho naweza kusogea pande za rock city kuchukua mazaga fulani hivi.Orange VVIP
Hongera saana.Nimefika salama
Mungu ashukuriwe...
Stand ya nata ....naelekea hotel sasa
Me nimepanga niupokelee huku pia...Hongera saana.
I real love and miss mwanza
Mwaka flan niliupokea mwaka mpya kutokea Bonasari pale. It was good moment for me.
Sitasahau.
Code kujua mbona rahisi sana....wee mpe mwanamke hela uone code inavhotolewa kirahisiHahahaha si mpaka ajue codes
Huyo mwenyeji atafaidi saana.Me nimepanga niupokelee huku pia...
Natumaini itakuwa experience nzuri...ukizingatia round hii nina mwenyeji