Mwanza: Oparesheni 255 yaingia Visiwa vya Ukerewe, suala la Mkataba wa Bandari na umuhimu wa Katiba Mpya kupewa kipaumbele

Mwanza: Oparesheni 255 yaingia Visiwa vya Ukerewe, suala la Mkataba wa Bandari na umuhimu wa Katiba Mpya kupewa kipaumbele

Ccm wako na Mzee wa kijijini wasira wakati chadema Iko na vijana wasomi na wakimikakati

Tofauti kubwa sana
 
Ccm wako na Mzee wa kijijini wasira wakati chadema Iko na vijana wasomi na wakimikakati

Tofauti kubwa sana
Screenshot_2023-08-10-23-32-13-1.jpg
Screenshot_2023-08-10-23-32-17-1.jpg
 
Ukerewe asanteni sana
Nikuulize wewe mkuu 'Erythro'; labda unaweza kuwa na jibu la swali hili:
Hivi Samia na Kinana, na kwa bahati mbaya sana (hata Philipo, Bwana Mipango naye inalazimu aingizwe, kwenye kundi hili) watafanya uchawi gani safari hii ili wabaki salama?

Huo ufundi watakaotumia kuwageuza akili hawa watu nitapenda sana kuujua.
Sioni polisi wala Tume ya Uchaguzi ikiweza kuhimili wimbi hili linalokuja kuwafagia CCM.

Dah!

Imenilazimu nirudi haraka sana kuongeza swali la pili, litakalofaa ulijibu kama itakupendeza.
Nalo linasema ifuatavyo:
Hivi CHADEMA itawalazimu wafanye kitu gani kitakachofanya wananchi wawaone hawafai kabisa na kurudi kumwangukia zimwi CCM?
Hilo litakuwa ni kosa la ajabu sana litakalokuwa halijawahi kufanywa na CHADEMA.
 
Nikuulize wewe mkuu 'Erythro'; labda unaweza kuwa na jibu la swali hili:
Hivi Samia na Kinana, na kwa bahati mbaya sana (hata Philipo, Bwana Mipango naye inalazimu aingizwe, kwenye kundi hili) watafanya uchawi gani safari hii ili wabaki salama?

Huo ufundi watakaotumia kuwageuza akili hawa watu nitapenda sana kuujua.
Sioni polisi wala Tume ya Uchaguzi ikiweza kuhimili wimbi hili linalokuja kuwafagia CCM.

Dah!

Imenilazimu nirudi haraka sana kuongeza swali la pili, litakalofaa ulijibu kama itakupendeza.
Nalo linasema ifuatavyo:
Hivi CHADEMA itawalazimu wafanye kitu gani kitakachofanya wananchi wawaone hawafai kabisa na kurudi kumwangukia zimwi CCM?
Hilo litakuwa ni kosa la ajabu sana litakalokuwa halijawahi kufanywa na CHADEMA.
CCM wanaelewa hili na ndio maana wanauza kila kitu ikiwemo Bandari
 
Back
Top Bottom