Mwanza: Ukivaa nguo ya CHADEMA au yenye Maandishi "Katiba Mpya" huruhusiwi kuangalia mpira wa Simba na Yanga

Mwanza: Ukivaa nguo ya CHADEMA au yenye Maandishi "Katiba Mpya" huruhusiwi kuangalia mpira wa Simba na Yanga

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Polisi wamepiga marufuku Wafuasi wa Chadema kuingia CCM Kirumba kuangalia mpira wa Simba na Yanga.

Wameambiwa Wavue nguo zilizoandikwa KATIBA MPYA au Wasiingie Uwanjani
20220528_133718.jpg

Viongozi wa BAVICHA wakiongea na Polisi Tanzania ili Wawaruhusu Wafuasi wa Chadema waungie uwanjani. Polisi bado wamedinda kuwaruhusu hadi Wavue nguo Walizovaa zenye viashiria vya Siasa.
 
po
Polisi wamepiga marufuku Wafuasi wa Chadema kuingia CCM Kirumba kuangalia mpira wa Simba na Yanga.

Wameambiwa Wavue nguo zilizoandikwa KATIBA MPYA au Wasiingie Uwanjani
View attachment 2242126
Viongozi wa BAVICHA wakiongea na Polisi Tanzania ili Wawaruhusu Wafuasi wa Chadema waungie uwanjani. Polisi bado wamedinda kuwaruhusu hadi Wavue nguo Walizovaa zenye viashiria vya Siasa.

Mungu ibariki Chadema
polisi ni vilaza wanatumika vibaya halafu wanalipwa mshahara kiduchu maisha yao magumu mwangalie huyo afande sura ngumu
 
tukisema hawa watu ni vichaa mnasema hatujasoma[emoji16][emoji16][emoji16]

sasa katiba mpya na mpira vina uhusiano gani??
 
po



polisi ni vilaza wanatumika vibaya halafu wanalipwa mshahara kiduchu maisha yao magumu mwangalie huyo afande sura ngumu
sasa mshahara wa polisi unahusianaje na bangi za bavicha???mkuu utakung'utwa kwa kujizima data halafu uende uambie demu wako polisi njaa tu ndio maama wamenidunda.
 
Sio ustarabu kuleta siasa mpirani


Kwanza si wana makubaliano hao au yale maridhiano yalikua maigizo?
 
Polisi wamepiga marufuku Wafuasi wa Chadema kuingia CCM Kirumba kuangalia mpira wa Simba na Yanga.

Wameambiwa Wavue nguo zilizoandikwa KATIBA MPYA au Wasiingie Uwanjani
View attachment 2242126
Viongozi wa BAVICHA wakiongea na Polisi Tanzania ili Wawaruhusu Wafuasi wa Chadema waungie uwanjani. Polisi bado wamedinda kuwaruhusu hadi Wavue nguo Walizovaa zenye viashiria vya Siasa.
Hawa polidi hawa!!!
Lakini Ccm kuvaa marangi yao ya gomba hadi kwenye mazishi ni sawa sawa.
Hatuja wahi kuwa na polisi wa ajabu kama kipindi hiki.
 
Polisi wamepiga marufuku Wafuasi wa Chadema kuingia CCM Kirumba kuangalia mpira wa Simba na Yanga.

Wameambiwa Wavue nguo zilizoandikwa KATIBA MPYA au Wasiingie Uwanjani
View attachment 2242126
Viongozi wa BAVICHA wakiongea na Polisi Tanzania ili Wawaruhusu Wafuasi wa Chadema waungie uwanjani. Polisi bado wamedinda kuwaruhusu hadi Wavue nguo Walizovaa zenye viashiria vya Siasa.
Wakiruhusiwa kuingia na hizo nguo zao za damu, Mayele akifunga tutashangilia' CCM........CCM.......CCM.......CCM' halafu tuwasikie wakilalamika
 
Nasikiavyo amri ilitolewa kwa ajili ya mechi hiyo tu - kuna mechi nyingi zimechezwa hapo watazamaji walivaa hizo Tshirt lakini policcm haikuwazuia.
Ajabu sana. Vaa hizo Tshirt, tembea barabarani, ingia cinema, majumba ya starehe, kanisani, etc lakini mpirani HAPANA.
Watu watakaomharibia Mama kupata sijui tuzo ya Mo, sijui ya Nobel ni hawa hawa policcm kutokana na uminyaji wao wa haki za raia.
Mark my words.
 
Back
Top Bottom