TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Hiki chumba kinapatikana ukanda wa maziwa makuu nchini Tanzania pembezoni mwa Ziwa Victoria jijini Mwanza na kinagharimu USD 70 takribani shs za kitanzania 150,000 kwa usiku mmoja tu, room hiyo ni kwa wageni wawili as mke na mume au mtu mmoja.
Kulingana na uwekezaji aliofanya huyu mtu nahakisi gharama ni ndogo za kulala hapo kulinganisha na sehemu nyingine ambazo niliwahi kuziona au kufika.
Kulingana na uwekezaji aliofanya huyu mtu nahakisi gharama ni ndogo za kulala hapo kulinganisha na sehemu nyingine ambazo niliwahi kuziona au kufika.