Mwanza: Uwekezaji wa hoteli Mkubwa, gharama ndogo

Mwanza: Uwekezaji wa hoteli Mkubwa, gharama ndogo

Hapa sababu ilikuwa miamba imekuwaje tena Tanzania nzima?
Hiyo mipango miji nimekutolea mfano wa mabatini hapo juu sio kwa sababu ya miamba.
Nimekuambia mwanza sehemu gani gari haifiki kwa sababu imezungukwa na miamba!?
something is wrong with you.
Yaani nimeanza kujibu sijui nianzie wapi na niishie wapi..., naomba urudie mjadala wangu mimi na wewe kama bado utakuja na hii comment taomba uniambie mother tongue yako huenda tukiongea kwa hio lugha ndio tutaelewana au nitafute mkalimali...

Logically tu na sio Mwanza pekee hata dunia nzima hakuna sehemu kila sehemu inafikika kwa gari sio kwamba ni impossible
 
Hiki chumba kinapatikana ukanda wa maziwa makuu nchini Tanzania pembezoni mwa Ziwa Victoria jijini Mwanza na kinagharimu USD 70 takribani shs za kitanzania 150,000 kwa usiku mmoja tu, room hiyo ni kwa wageni wawili as mke na mume au mtu mmoja.

Kulingana na uwekezaji aliofanya huyu mtu nahakisi gharama ni ndogo za kulala hapo kulinganisha na sehemu nyingine ambazo niliwahi kuziona au kufika.


Hilo draft wanauza bei gani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom