Kufika hapo unapelekwa na Helicopter au Overhead Wire Van ?
Sasa hapo nataka kufanya mazoezi ?Hapo Heli itatua kweli? Labda kuna njia za Mkato; vichochoro Vya kupandisha huko. Wanakubebea tu begi.
Watu ambao hawaijui mwanza wanafikiri huko milimani hakuna barabara...Sasa hapo nataka kufanya mazoezi ?
Hio labda waimarket kwa rock climbers au trekkers na hapo wakifika ni sehemu ya kupumzika kabla hawajaendelea..., sio sio mtu ambaye maisha yake ni purukushani na good time means relaxing sio kufanya zoezi...
Aisee ebu jaribu kuzoom hio nyumba imezungukwa na mawe....,Watu ambao hawaijui mwanza wanafikiri huko milimani hakuna barabara...
Ukiwa caaprpoint mliman unaiona mwanza yote na kwa kupitia gari,
barabara iko juu ya mawe.
Na hiyo nadhani unapelekwa na boat.
Hiyo nyumba naona itakuwa kisiwani.Aisee ebu jaribu kuzoom hio nyumba imezungukwa na mawe....,
Tofautisha kwamba mwanza yenyewe majority ni milima..., hata Bugando ipo mlimani, Kirumba ni mlimani, isamilo ni mlimani..., Nyegezi ni mlimani..... sea level ni huku mwaloni, makongoro, kamanga mjini kati n.k. ila hiamaanishi vyote hivyo vipo katikatika ya mawe....
Mwanza sehemu pekee nyenye changamoto kidog ni mabatini nasio kwa sababu ya maweAisee ebu jaribu kuzoom hio nyumba imezungukwa na mawe....,
Tofautisha kwamba mwanza yenyewe majority ni milima..., hata Bugando ipo mlimani, Kirumba ni mlimani, isamilo ni mlimani..., Nyegezi ni mlimani..... sea level ni huku mwaloni, makongoro, kamanga mjini kati n.k. ila hiamaanishi vyote hivyo vipo katikatika ya mawe....
Hata capripoint kuna mawe ya kutosha maghorofa ndio yanayaficha.Aisee ebu jaribu kuzoom hio nyumba imezungukwa na mawe....,
Tofautisha kwamba mwanza yenyewe majority ni milima..., hata Bugando ipo mlimani, Kirumba ni mlimani, isamilo ni mlimani..., Nyegezi ni mlimani..... sea level ni huku mwaloni, makongoro, kamanga mjini kati n.k. ila hiamaanishi vyote hivyo vipo katikatika ya mawe....
Hakuna sehemu ambayo barabara haiwezi ikapita / kuwekwa issue ni squatter, ujengaji wa bila mipango, na kutokuwa na huduma / mahitaji sehemu husika ya kuhitajika uwepo wa Barabara.... (au waliopo huko kushindwa kugharamia barabara)Mwanza sehemu pekee nyenye changamoto kidog ni mabatini nasio kwa sababu ya mawe
bali uswahilini..
Kwingine unaenda na gari ndio maana umeme umefika na huduma zote.
Yale mawe ukiyaangalia unaweza dhani hakuna njia njia zipo katikati ya hayo mawe
labda unitajie sehemu ambayo gari hazipiti.
Hapa sababu ilikuwa miamba imekuwaje tena Tanzania nzima?Hakuna sehemu ambayo barabara haiwezi ikapita / kuwekwa issue ni squatter, ujengaji wa bila mipango, na kutokuwa na huduma / mahitaji sehemu husika ya kuhitajika uwepo wa Barabara.... (au waliopo huko kushindwa kugharamia barabara)
Sasa niambie ujenge kijumba chako sehemu ambayo haijapimwa wala sio makazi ya watu (ni hifadhi ya malialisi na huko kuna tumbili na Pimbi) hata ukianza kuweka barabara zako lazima mipango miji / maliasili wakupigie hodi...
Vilevile labda kama wewe mgeni Tanzania uniambie kwamba sehemu nyingi hazina changamoto ya kufikika na gari linafika..., Acha Mwanza tu hata huko Dar au sehemu yoyote ya Tanzania kuna sehemu hata Boda, kutembea kwa miguu tu tatizo let alone gari...., yaani hata kufika kwako lazima uruke vyoo vya watu na mabafu na kama ukipita bila kujua unaweza kushikwa kwamba unachungulia watu wanaoga
Ukiona unaanza ku-judge bei ya kitu ujue hakiko kwenye uwezo wako.hakuna maajabu hapo labda mtawakamata wasukuma ....msukuma akiishapata hela ya dhahabu na ameihenyekea miaka mitatu..utamsikia anakwambia "maguzu masese"....
Laki hamsini ni hela ya vocha kwa sisi tulioko huku machimboni ....ila pia unaangalia quality na quantity ya kitu chenyewe....Ukiona unaanza ku-judge bei ya kitu ujue hakiko kwenye uwezo wako.
Hahahaha!!!! sawa mkuuLaki hamsini ni hela ya vocha kwa sisi tulioko huku machimboni ....ila pia unaangalia quality na quantity ya kitu chenyewe....