Mwanza vs Nakuru

Mwanza vs Nakuru

Kisumu-Nairobi-Kisumu_1024_0621.jpg
15455973130_79556e942b_b.jpg
15638860481_78409f395c_b.jpg
 
Mbona kama Mwanza wana 51 nakuru 49....yaani ushindi mwembamba
Sababu Ni kama ifuatavyo...
1. MwanZa pamepanuka sana so it's obvious kuna mengi kama hotels,school's, health facilities,alafu ikumbukwe MwanZa there are few apartment since because in Tanzania we don't believe on renting a house/apartment
2.MwanZa mandhari u ziwa na hayo mawe it's very splendid
3.infrustructure are not good as nakuru ....nakuru killed it in terms of miundombinu...
4.upande wa vyuo iyo egerton varsity it's way better than SAUT of MwanZa tena very far u can't compare btn the two!!
Conclusion MwanZa imeshinda kwa ushindi mdogo wa point moja!!
Mshindi by mshindi Ila kashinda kwa mbinde sana....
 
Mbona kama Mwanza wana 51 nakuru 49....yaani ushindi mwembamba
Sababu Ni kama ifuatavyo...
1. MwanZa pamepanuka sana so it's obvious kuna mengi kama hotels,school's, health facilities,alafu ikumbukwe MwanZa there are few apartment since because in Tanzania we don't believe on renting a house/apartment
2.MwanZa mandhari u ziwa na hayo mawe it's very splendid
3.infrustructure are not good as nakuru ....nakuru killed it in terms of miundombinu...
4.upande wa vyuo iyo egerton varsity it's way better than SAUT of MwanZa tena very far u can't compare btn the two!!
Conclusion MwanZa imeshinda kwa ushindi mdogo wa point moja!!
Mshindi by mshindi Ila kashinda kwa mbinde sana....

Tihihi.....Congratulations.2nd largest town vs 4th largest.....
 
Tihihi.....Congratulations.2nd largest town vs 4th largest.....
Hahaha thanks ,ushindi wa mbinde sana!! Arusha mnapambanisha na nani sasa....Au tayari ina uzi
 
Mbona kama Mwanza wana 51 nakuru 49....yaani ushindi mwembamba
Sababu Ni kama ifuatavyo...
1. MwanZa pamepanuka sana so it's obvious kuna mengi kama hotels,school's, health facilities,alafu ikumbukwe MwanZa there are few apartment since because in Tanzania we don't believe on renting a house/apartment
2.MwanZa mandhari u ziwa na hayo mawe it's very splendid
3.infrustructure are not good as nakuru ....nakuru killed it in terms of miundombinu...
4.upande wa vyuo iyo egerton varsity it's way better than SAUT of MwanZa tena very far u can't compare btn the two!!
Conclusion MwanZa imeshinda kwa ushindi mdogo wa point moja!!
Mshindi by mshindi Ila kashinda kwa mbinde sana....

Tatizo ujeuri wenu wa kujifungia ndani, yaani introvert hamtaki kudiriki kwa kuchangamkia fursa la soko la EAC ipasavyo, kila siku mnaona kwamba mtaliwa.
Mwanza ina uwezo wa kuongoza miji yote ukanda huu, maana ni kitovu cha nchi kadhaa, yaani Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Tanzania zote zinaweza kutanika hapo kama mkitia akili na kuona hiyo fursa.
 
Tatizo ujeuri wenu wa kujifungia ndani, yaani introvert hamtaki kudiriki kwa kuchangamkia fursa la soko la EAC ipasavyo, kila siku mnaona kwamba mtaliwa.
Mwanza ina uwezo wa kuongoza miji yote ukanda huu, maana ni kitovu cha nchi kadhaa, yaani Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Tanzania zote zinaweza kutanika hapo kama mkitia akili na kuona hiyo fursa.
Kweli mkuu.
 
Hata wakitengeneza uzi hamna maana sababu kila mtu atavutia kwake....!ila kiuhalisia arusha ipo juu....!
Picha zinasema mkuu....Au we huoni penye ukweli mtu unakubali..mf kwa thread hii MwanZa imeshinda lakini kwa mbinde sana!!
 
So Arusha ni kubwa kuliko Mwanza.....
No.....ila mwanza imeizid arusha kidogo sana...especially kwenye suala la population na baadhi ya miundo mbinu muhimu km barabara...ambazo kwa sasa arusha wanajitahdi kujenga...!
 
Back
Top Bottom