Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Wakala wa Chadema Edward Odingi ameshikiliwa na jeshi la polisi mara baada ya kuchukua boksi la Karatasi za kupigia kura na kuondoka nazo akiwa na mgombea wake
Kwa mujibu wa Kamanda wa jeshi la polisi Mkoani mwanza Wilbrod Mutafungwa askari aliyekuwa akilinda katika kituo hicho walichukua hatua ya kumkamata wakala na mgombea wake na kuwafikisha kituoni.
PIA SOMA
- LGE2024 - Mwanza: Makada wa CHADEMA wadaiwa kuimbia na boksi la kura
Wakala wa Chadema Edward Odingi ameshikiliwa na jeshi la polisi mara baada ya kuchukua boksi la Karatasi za kupigia kura na kuondoka nazo akiwa na mgombea wake
Kwa mujibu wa Kamanda wa jeshi la polisi Mkoani mwanza Wilbrod Mutafungwa askari aliyekuwa akilinda katika kituo hicho walichukua hatua ya kumkamata wakala na mgombea wake na kuwafikisha kituoni.
PIA SOMA
- LGE2024 - Mwanza: Makada wa CHADEMA wadaiwa kuimbia na boksi la kura