Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Matangazo ya Chadema kote yalikopita yameeleza vizuri sana , sasa inashangaza Munkari wa Wananchi umetoka wapi yaani !Kweli waelezwe warudi kupumzika maana kitimtimu cha kesho si cha kitoto.
Kawadanganye nyumbu wenzako huko!! Rubbish!!Hii ndio Taarifa Mpya iliyotufikia usiku huu, kwamba Maelfu ya Wananchi wanamiminika kwenye ofisi zote chadema za Jiji hilo kwa lengo la kukesha ili kuwahi kujiandikisha, ili washiriki maandamano.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.
View attachment 2904329
Hata watu kukusanyika kwa hiyari yao bila kubebwa na kusombwa kwa malori machakavu wewe ndiyo ujinunishe hivyo?Utakufa kibudu kwa moyo kukugomea kufanya kazi.Relax!Be at easy,chap!Kawadanganye nyumbu wenzako huko!! Rubbish!!
Karibu Nyegezi ofisi ya kanda , sema sasa huko chato ulipo ni mbali sana !Kawadanganye nyumbu wenzako huko!! Rubbish!!
😆😆😆😆😆Hata watu kukusanyika kwa hiyari yao bila kubebwa na kusombwa kwa malori machakavu wewe ndiyo ujinunishe hivyo?Utakufa kibudu kwa moyo kukugomea kufanya kazi.Relax!Be at easy,chap!
Acha kumchokoza aisee!Huwa hawakawii kujiua watu sampuli hiyo.😂😂😂😂Karibu Nyegezi ofisi ya kanda , sema sasa huko chato ulipo ni mbali sana !
OhooooAcha kumchokoza aisee!Huwa hawakawii kujiua watu sampuli hiyo.😂😂😂😂
😂😂 We jamaa 🙌Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Tuko live Mkuu , karibu sanaWasukuma waandamane wapi
hii iko low key sana dah 🤣Hii ndio Taarifa Mpya iliyotufikia usiku huu, kwamba Maelfu ya Wananchi wanamiminika kwenye ofisi zote chadema za Jiji hilo kwa lengo la kukesha ili kuwahi kujiandikisha, ili washiriki maandamano.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.
View attachment 2904329
Michango imekamilika?Hii ndio Taarifa Mpya iliyotufikia usiku huu, kwamba Maelfu ya Wananchi wanamiminika kwenye ofisi zote chadema za Jiji hilo kwa lengo la kukesha ili kuwahi kujiandikisha, ili washiriki maandamano.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.
View attachment 2904329
Dada unanunua sukari ukiwa wapi.....Kawadanganye nyumbu wenzako huko!! Rubbish!!
Itakuwa waliona ule magawo wa posho za maandamano kutoka kwa Mnyika!Hii ndio Taarifa Mpya iliyotufikia usiku huu, kwamba Maelfu ya Wananchi wanamiminika kwenye ofisi zote chadema za Jiji hilo kwa lengo la kukesha ili kuwahi kujiandikisha, ili washiriki maandamano.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.
View attachment 2904329
Lucas mwashambwa atatetemeka akisoma hiiHii ndio Taarifa Mpya iliyotufikia usiku huu, kwamba Maelfu ya Wananchi wanamiminika kwenye ofisi zote chadema za Jiji hilo kwa lengo la kukesha ili kuwahi kujiandikisha, ili washiriki maandamano.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.
View attachment 2904329
CHADEMA ni wapuuzi sana!Hii ndio Taarifa Mpya iliyotufikia usiku huu, kwamba Maelfu ya Wananchi wanamiminika kwenye ofisi zote chadema za Jiji hilo kwa lengo la kukesha ili kuwahi kujiandikisha, ili washiriki maandamano.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.
View attachment 2904329