Mwanza wasanii wengi waliopitia mikononi mwa KIDBWAY wanaishia pabaya sana

Mwanza wasanii wengi waliopitia mikononi mwa KIDBWAY wanaishia pabaya sana

Kama unafikiri dunia hii yupo kwa ajilinya kukutengenezea mafanikio basi utasubiri sana.No one is comming to save you except you learn to stand on your own
 
Niliona interview ya hussein machozi anasema kipindi anasimamiwa na kidbway alikuwa anaishi chumba kimoja kwa mwanamboka na chumba kilikuwa kinaingiliwa maji mvua ikinyesha.

Tena kipindi hicho alikuwa anahit vibaya sana. Akifanya show kidbway anachukua hela karibu zote anamwachia hela ya kula tu!

Kipindi icho icho bibi yake singida alikuwa anaumwa sana ikawa inahitajika hela afanyiwe operation yeye hana hela mpaka ndugu wakawa wanamshangaa yaan hyu jamaa kuhit kote kule hela hana!

Wengi wakawa wanamhukumu kuwa ana hela ila anazibania tu! Ilifikia kipindi uwezo wa kununua pamba kali alikuwa hana mpaka kidbway akawa anamsusia baadhi ya nguo zake

Sasa kila akiuliza hela zinaenda wapi kidbway alikuwa anamjibu zinatumika kwenye promotion

Alimalizia kwa kusema alianza kuiona hela yake ya muziki alivyoachana na kidbway ingawa mwishoni alisema hana tatizo lolote na kidbway

HITIMISHO; Jamani hawa wasanii wetu waoneni tu kwenye tv wakishine ila wanapitia magumu mno
Marco Chali katika kipindi cha Salama na.. aliongelea kuhusu kushuka kimziki kwa 50 cent wa bongo king wa salasala Godzilla mpaka kifo chake kimsingi ni kitu cha kusikitisha sana.

Kuna moment naelewa wanachopitia wasanii just imagine mimi BabaMorgan sio maarufu ila maisha yanavyonipiga napatwa na msongo wa mawazo so maisha yanavyokunyoosha wakati Tanzania nzima inakujua na nyimbo zako zinasifia wanawake na kula bata kumbe hata kumudu basic needs ni kimbekimbe hii situation usipokuwa strong kinachofuata ni addiction za madawa na depression zinazotafuna mwili na mwisho wa siku ni RIP.
 
-Mbona huwasemi producer kayombo the doctor aliwatoa akina man b, best naso, chelea man, n.k
-Mbona huwasem akina akina 20%, chini ya man water
-Mbona hiwasemmi akina trizzy wa masogange,watupori n.k
Marekebisho, kayombo hakuwa producer ila nadhan alikuwa mdau tu, producer alikiwa aliemtoa bestnasso alikuwa anaitwa chiefmeker kama sikksei
 
Habari wakuu, Nilikuwa najaribu kufikiria hapa vijana waliowahi kutamba kutoka mwanza wengi wakiwa signed na record label ya TETEMESHA PRODUCTION. ambayo inamilikiwa na Mtangazaji wa RFA, Kidbway, wanaishia pabaya sana wengi wao huishia maisha ya puto, yaani kuvuma mda mchache na kujulikana kwa kasi kisha kupotea gafla na kuishia mitaani katika hali mbaya kuliko mwanzo,

Hapa sijajua tatzo linatokana na nini,
Mafano wa wawasanii ambao walipitia mkononi mwa KIDBWAY

SAJNA,
C SIR MADINI
BARAKA DA PRICE
MO MUSIC
MC KOYO
HUSEIN MACHOZI

Na wengineo hawa wote kwa namna moja waliwahi kupita mikononi kwa TETEMESHA PRODUCTION. ila wote walivuma sana lakin hadi sasa hakuna ambae yupo mainstream tena.
Hussein Machozi!! Really!!?
 
Niliona interview ya hussein machozi anasema kipindi anasimamiwa na kidbway alikuwa anaishi chumba kimoja kwa mwanamboka na chumba kilikuwa kinaingiliwa maji mvua ikinyesha.

Tena kipindi hicho alikuwa anahit vibaya sana. Akifanya show kidbway anachukua hela karibu zote anamwachia hela ya kula tu!

Kipindi icho icho bibi yake singida alikuwa anaumwa sana ikawa inahitajika hela afanyiwe operation yeye hana hela mpaka ndugu wakawa wanamshangaa yaan hyu jamaa kuhit kote kule hela hana!

Wengi wakawa wanamhukumu kuwa ana hela ila anazibania tu! Ilifikia kipindi uwezo wa kununua pamba kali alikuwa hana mpaka kidbway akawa anamsusia baadhi ya nguo zake

Sasa kila akiuliza hela zinaenda wapi kidbway alikuwa anamjibu zinatumika kwenye promotion

Alimalizia kwa kusema alianza kuiona hela yake ya muziki alivyoachana na kidbway ingawa mwishoni alisema hana tatizo lolote na kidbway

HITIMISHO; Jamani hawa wasanii wetu waoneni tu kwenye tv wakishine ila wanapitia magumu mno
Machozi ngoma zake za mwanzo hadi ssa nzipenda.
Full shangwe
Utaipenda
Kafia geto
Kwaajili yako
 
Back
Top Bottom