Mwanza wasanii wengi waliopitia mikononi mwa KIDBWAY wanaishia pabaya sana

Kama unafikiri dunia hii yupo kwa ajilinya kukutengenezea mafanikio basi utasubiri sana.No one is comming to save you except you learn to stand on your own
 
Marco Chali katika kipindi cha Salama na.. aliongelea kuhusu kushuka kimziki kwa 50 cent wa bongo king wa salasala Godzilla mpaka kifo chake kimsingi ni kitu cha kusikitisha sana.

Kuna moment naelewa wanachopitia wasanii just imagine mimi BabaMorgan sio maarufu ila maisha yanavyonipiga napatwa na msongo wa mawazo so maisha yanavyokunyoosha wakati Tanzania nzima inakujua na nyimbo zako zinasifia wanawake na kula bata kumbe hata kumudu basic needs ni kimbekimbe hii situation usipokuwa strong kinachofuata ni addiction za madawa na depression zinazotafuna mwili na mwisho wa siku ni RIP.
 
-Mbona huwasemi producer kayombo the doctor aliwatoa akina man b, best naso, chelea man, n.k
-Mbona huwasem akina akina 20%, chini ya man water
-Mbona hiwasemmi akina trizzy wa masogange,watupori n.k
Marekebisho, kayombo hakuwa producer ila nadhan alikuwa mdau tu, producer alikiwa aliemtoa bestnasso alikuwa anaitwa chiefmeker kama sikksei
 
Hussein Machozi!! Really!!?
 
Machozi ngoma zake za mwanzo hadi ssa nzipenda.
Full shangwe
Utaipenda
Kafia geto
Kwaajili yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…