Mwanza: Watu watano wa familia moja waungua moto na kufariki dunia

Mwanza: Watu watano wa familia moja waungua moto na kufariki dunia

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Ramadhani Ng'anzi amethibitisha vifo vya watu watano wa familia moja walioungua moto ndani ya nyumba yao katika eneo la Mandela jijini Mwanza.

Chanzo: Nipashe
 
Mitaa yangu kqbxaa...hakika ilikuwa ni huzuni na majonzi makubwaa..nliumia zaid wale madogo waliokiwa wanajiandaa kwenda chuo leo...
 
Back
Top Bottom