Kwa masharti yafuatayo:yaani watu wamekusanyika toka asubuhi?duuh na hawa hawajafuatwa na malori kama chana fulani hivi..hahaaaaa presha inapanda presha inashuk..wapi Makamba.Vipi unamleta mgombea wako kwenye mdahalo au?
Ni yule aliyetaka kumnyima mgombea ubunge wa chadema haki yake ya kuchaguliwa kwa kisingizio cha pingamizi la kilaza masha.
Ni mwana CCM damu. kwa hali hii kwa nini asishiriki mbinu chafu ya kuiba kura ama kumpa ushindi masha
huo uwanja wa magomeni ndo uko pande gani za mwanza?
jamani wewe nimakamba sasa unajibu hayo!?? hahahahha:mmph:Kwa masharti yafuatayo:
Mtuletee majina ya watu watakao kuwepo siku ya mdahalo na maswali watakayo uliza usije leta watu wenye njaa kutoka sehemu kama Kariakoo....
Huduma ya kwanza iwepo.
Hakuna kuzungumzia ufisadi
na iwekuzungumzia ilani za chama
.... Mkiyatekeleza hayo JK atakuja kwenye mdahalo...
Niko Mwanza hali bado ni tete katika maeneo yote yanayozunguka uwanja wa FURAHISHA, ambapo tangia asubuhi Chadema alikuwa wanaandaa mkutano wao. Mabomu ya machozi bado kama kawa. MAnispaa ya Jiji imekataa kutoa uwanja huo kwa ajili ya mkutano huo. Tangia TArehe 17/10 wamekuwa wakiwazungusha ili Chadema wasitumie uwanja huo. Yasemekana wametakiwa sasa kutumia uwanja unaoitwa MAGOMENI ambao ni mdogo unaoweza weka watu sio zaidi ya 200. Uwanja huo umezungukwa na makazi ya watu. Mwenyekiti wa CCM amekuwa akihubiri amani kumbe moyoni anamaanisha vurugu.
CHAGUA CHADEMA!!!!!!
jamani wewe nimakamba sasa unajibu hayo!?? hahahahha:mmph:
Chadema mkoa waliomba mkutano kufanyikia Uwanja wa Furahisha ama Magomeni Mwanza, na wakachelewa kupewa majibu, ikabidi watangaze kuwa mkutano wa Slaa ni leo, sasa Msimamizi wa Uchaguzi akatoa taarifa leo mkutano usifanyike Furahisha maana kuna majukwaa ya mahubiri ya dini lakini watu walishajaa toka asubuhi na FFU wakaenda kuwatimua kwa mabomu. Sasa mkutano unahamia Magomeni.....
Huyu atakuwa ni mwingine yule anaitwa Wilson Kabwe. Kama kawaida wanaweza wakawa wamemchakachua ili wapate mtu wa kumtumia vizuri hawa chechem wana mbinu nyingi mno.