TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
mkuu we nae kumbe una matatizo kichwani, kwani umeshindwa kujua kuwa Raisi iyo ziara Ni maalum kwajili ya kuongea na vijana,??? Sasa Kuna tatizo gani akiwaasa vijana kuwa nini Cha kufanya ili na wao waondokane na umasikiniView attachment 1817303
Mama ameyumba. Kama wanapigwa Serikali iwakopeshe. Hiyo ni biashara huru kabisa. Inazingatia negotiation power
Vipi, na wewe ni mmiliki au ni dereva? Kama ni dereva, sema nikupeleke kwa mmiliki mwenye hiyo mikataba.Sio wote usituingize chaka mzee..
Aisee Kuna majitu yamebakia kulaumu tu hii NchiUkiwa Rais hautoi Ushauri ?
Ukizingatia tatizo kubwa sana linalowakumba / litakalowakumba viongozi wote duniani ni hili tabaka la chini la have nots ambalo ndio kubwa na linazidi kukua kila siku..., mwisho wake ni hatari hata kwa usalama wa walionazo
Wewe boya, hiki kitu ndicho kinafanyika zaidi ya miaka 5 sasa. Rais anakuja kueleza jambo ambalo linafanywa zaidi ya miaka 5, hiyo ni akili? Waeleze wenzio kuwa wamshauri vzr Mh. Rais....Kuna ubaya gani boda boda kuwa na mikataba yenye kulinda maslahi yao?ninyi mawakala wa Chadema ama muwe na vitambulisho vya machinga au TIN la sivyo mnawekwa korokoroni
Ulitaka aongoze kwa akili ya makalio yako hayo makubwa Kama ya bashiteUwezo mdogo huyu, anaongoza nchi kwa akili za kawaida sana!
Kuweni na nidhamu ya brbrAcha ubinafsi wewe. Hivi hali iliokuwa barabarani unaijua mkuu. Either gari Huna au wewe mwenzetu 30,000 ni ndogo sana kwamba hata kila wiki ukikatiwa mkeka mmoja sio hoja kwako.
Asingeshusha hizo machafuko yangeweza kutokea. Hali ilikua mbaya sana huku barabarani.
Ni sawa tu na yule aliyekua anaongelea machinga na mama ntilie "Na nyie mama ntilie pikeni chakula kizuri ili mteja ambaye hawezi kula hotelin aje ale kwenu kwa bei rahisi" Mbezi LuisView attachment 1817303
Mama ameyumba. Kama wanapigwa Serikali iwakopeshe. Hiyo ni biashara huru kabisa. Inazingatia negotiation power
Hahahaaa sawa sawa mkuu. Nna dadaangu binti kiziwi shemeji yake Yustino yuko bahi japokua nasikia wanahama kwa fujo kurudi dar nae atakimbia tu kwa jinsi alivyokua ni Pisi Kidimbwi sio Pisi Pestana/Bambalaga/WaswanuNili mnya Bahi elo...😂
Enzi onevu ilisha pita, ni wakati wa kufungua fursaKuna ubaya gani boda boda kuwa na mikataba yenye kulinda maslahi yao?ninyi mawakala wa Chadema ama muwe na vitambulisho vya machinga au TIN la sivyo mnawekwa korokoroni
Mimi ni dereva,na sina haja ya kujifunga na mkataba,najichanga kibishi ninunue yangu.Vipi, na wewe ni mmiliki au ni dereva? Kama ni dereva, sema nikupeleke kwa mmiliki mwenye hiyo mikataba.
Kifo ni cha kila mtu mkuu. Unaposhangilia kile cha JPM kumbuka kipo cha kwako ambacho wala hujui kitakufika lini na wapi.
Huyu unayemtukana akiwa keshakufa alifia hospitalini mikononi mwa madaktari, wewe unajua utafia wapi?, punguza kufuru za kipumbavu haya unayoandika yanaweza kukutia mkosi.
Chunga sana, punguza utoto unaoonekana kwenye maandiko yako.ni kweli kabisa lakini kuna binadamu wengine wakifa tena siyo kufariki inakuwa ni lazima iwe shangwe na sherehe kwa waliobaki hata mimi nikifa kama maisha na matendo yangu yatasababisha waliobaki wafanye karamu wacha wafanye tu. Mara nyingi utaona mtu akifariki reaction ya waliobaki itakuonyesha huyu kiumbe alichukuliwaje na binadamu wenzake wengine hulia kama alivyolia sabaya kumbe si majonzi ya kifo ni kilio cha kuchanganyikiwa figa limeporomoka
Sawa Isha MashauziHuoni aibu mana anakuongoza na wewe hata ukikejeli haikusaidii na atakua rais kwa miaka mingine kumi ..vimba pasuka
HayaUlitaka aongoze kwa akili ya makalio yako hayo makubwa Kama ya bashite
hakika ungeliweza kuzijua siku zako zilizobaki duniani, ungelizitumia kumjibu mtu na kuandika chochote kwa staha na hekima,Nyie wapuuzi mliekuwa mnamtukuza mtu Kama ni mungu, na kufikia wakati kutamka kuwa eti atatawala milele hakuna mbadala wake, nahisi hamkujua kuwa maisha na uhai miliki yake ipo kwa muumba tu,
Aya Leo kiko wapi, kufa kila mtu atakufa Chief, ila nyinyi mlihisi bwana mkubwa ye ataishi milele,
Mkuu usihangaike na hawa vichaa, huko kwao siku Magu amefariki walishangilia utazani goli limefungwaDuh, nimekusoma mwakilishi wa wote walio huko Mbinguni.