Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana kajibanza sehemu maana Ikulu ameondolewa na hakuwa na kwakwenda kupata hifadhiChalamila yupo
Hahhhaaaaa mdogo wake supika weweHale sande muwaha, chilibahano.
AtulieInasemekana kajibanza sehemu maana Ikulu ameondolewa na hakuwa na kwakwenda kupata hifadhi
🥂🍾💉Atulie
Yap
Kuna mental cases humu mitandaoni mkuu..save your energy for far better uses..huyo jamaa ni mgonjwaHuu ndio utoto na upumbavu ulio ambiwa! Kutwa kucha Unapigana na maiti! Marehemu hayupo tena duniani, lakini wewe bado hupati usingizi! Subiri safari yako ya kuzimu - na itafika, ila maumivu utakayo Pata kabla, ndiyo hayajulikani! Ila utajutia matendo yako haya ya kumsimanga maiti.
Nakubali japo kishingo upande...Hahhhaaaaa mdogo wake supika wewe
Hahahaaa mnya kwihi gwe?Nakubali japo kishingo upande...
Sabufa anatuharibia sana...
😂😂😂😂
Magufuli ni beezebulKifo ni cha kila mtu mkuu. Unaposhangilia kile cha JPM kumbuka kipo cha kwako ambacho wala hujui kitakufika lini na wapi.
Huyu unayemtukana akiwa keshakufa alifia hospitalini mikononi mwa madaktari, wewe unajua utafia wapi?, punguza kufuru za kipumbavu haya unayoandika yanaweza kukutia mkosi.
Chunga sana, punguza utoto unaoonekana kwenye maandiko yako.
Duh, nimekusoma mwakilishi wa wote walio huko Mbinguni.Magufuli ni beezebul