Mwanza: Yaliyojiri kwenye Ziara ya Rais Samia Suluhu. Azindua Kiwanda cha Kusafisha dhahabu na Jengo la (BoT)

Mwanza: Yaliyojiri kwenye Ziara ya Rais Samia Suluhu. Azindua Kiwanda cha Kusafisha dhahabu na Jengo la (BoT)

Ingependeza kila hatua ya post iwe na kapicha badala ya kutulisha pipi kwenye ganda
 
Huu ndio utoto na upumbavu ulio ambiwa! Kutwa kucha Unapigana na maiti! Marehemu hayupo tena duniani, lakini wewe bado hupati usingizi! Subiri safari yako ya kuzimu - na itafika, ila maumivu utakayo Pata kabla, ndiyo hayajulikani! Ila utajutia matendo yako haya ya kumsimanga maiti.
Kuna mental cases humu mitandaoni mkuu..save your energy for far better uses..huyo jamaa ni mgonjwa
 
Kama umeuona ule mgari wa mavyuma vyuma kwenye msafara wa Rais Samia, uliokuwa unajadiliwa Sana humu enzi za mwendazeke, fanya kunyosha mkono.
 
Kifo ni cha kila mtu mkuu. Unaposhangilia kile cha JPM kumbuka kipo cha kwako ambacho wala hujui kitakufika lini na wapi.

Huyu unayemtukana akiwa keshakufa alifia hospitalini mikononi mwa madaktari, wewe unajua utafia wapi?, punguza kufuru za kipumbavu haya unayoandika yanaweza kukutia mkosi.

Chunga sana, punguza utoto unaoonekana kwenye maandiko yako.
Magufuli ni beezebul
 
Serikali ya Tz ina korona na wanachekesha wakima kwenye makamera yao ..childish!
 
Screenshot_20210613-141529_Chrome.jpg

Mama ameyumba. Kama wanapigwa Serikali iwakopeshe. Hiyo ni biashara huru kabisa. Inazingatia negotiation power
 
Back
Top Bottom