Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf imeingiliwa na vizazi vya FACEBOOK, mtu timamu awezi kufurahia kifo cha mtu, ni ujinga na upumbavu tu.Inasikitisha sana kwa mtu umdhaniaye ni GT anaandika utopolo!
Washajifunza,Kuna tahira mmoja aliivimbia Covid19 na kuidharau science, kilichompata imekuwa historia,Serikali ya awamu sita ukiiangalia unaweza kudhani Corona ipo Serikalini tu si mtaani kwa hayo mabarakoa wanayovaa utadhani wapo operation theatre room
HAKUNA JIJI CHAFU ILA WAKAZI WA JIJI NDIO WACHAFU NA WEWE UKIWEMO-ONA AIBUJiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Hayo yanavaliwa akiwepo Rais tofauti na hapo watu hawana shida na barakoa, sasa sijui Rais ana corona ndio maana wakiwa karibu nae wanajikinga.Serikali ya awamu sita ukiiangalia unaweza kudhani Corona ipo Serikalini tu si mtaani kwa hayo mabarakoa wanayovaa utadhani wapo operation theatre room
Unamzungumzia Maalim seif?Washajifunza,Kuna tahira mmoja aliivimbia Covid19 na kuidharau science, kilichompata imekuwa historia,
Alijimwambafai mbele ya science,
Ila mtu timamu ni yule anakejeli afya ya mtu sindio?????Jf imeingiliwa na vizazi vya FACEBOOK, mtu timamu awezi kufurahia kifo cha mtu, ni ujinga na upumbavu tu.
Sasa utajuaje kama wanawake wakiwezeshwa wanaweza.Ila wapangaji wa ratiba ya Rais mbona hampi mda wa kupumzika daily jamani !! au nae ashauriki? Maana tangu ameapishwa ni M4C
Namzungumzia mungu wenu ,au mliekuwa mnamuita "CHUMA iko"Unamzungumzia Maalim seif?
Barakoa za kuvaa anapokuwepo rais tu huko ndio kujifunza au usanii?
Kwanini hukumshauri haya Chalamila?Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Imerudi tena kwa kasi kimya kimya nenda hosp kumejaa mkuu acha kabisa .....tena huko kanda ziwa balaa imetoka ugandaSerikali ya awamu sita ukiiangalia unaweza kudhani Corona ipo Serikalini tu si mtaani kwa hayo mabarakoa wanayovaa utadhani wapo operation theatre room
Kama bingwa wa kushangilia vifo, mbona ushangilii cha Baregu?Ila mtu timamu anakejeli afya ya mtu????? Nyie wapuuzi simlikuwa mnamkejeli Mzee wa watu Lowasa kuwa hawezi kupewa nchi maana afya yake ipo ICU??!! ETI nchi apewe JPM na isitoshe atake asitake tutamuongezea muda atawale milele!!, Saizi eti mlivyo wanafiki mnajifanya ndio mnajua kuwa Kuna uhai na kifo" bustard
Huyo alishachanjwa chanjo ya corona kisirisiri ile ya China sasa nakushangaa unavyosema kafa na corona, mtu ambaye kafa na corona na kifo chake hakina shaka ni Maalim seif wa Zanzibar huyu ndio kaugua corona na akafariki.Namzungumzia mungu wenu ,au mliekuwa mnamuita "CHUMA iko"
Haya BWANA, ila kiongozi wa nchi lazima apate mda wa kurelax ,siku moja moja wananchi wamuone pale CHAMWINO akipalilia mboga za majani, asiwe Kama mwendazake ,mda wote yupo na mafaili zaidi ya miambili mezani, huku daily ziara kibao , pamoja na tatizo la moyo ila stress zilichangia Sana ambazo alizitaka mwenyeweSasa utajuaje kama wanawake wakiwezeshwa wanaweza.
Kifo ni cha kila mtu mkuu. Unaposhangilia kile cha JPM kumbuka kipo cha kwako ambacho wala hujui kitakufika lini na wapi.
Huyu unayemtukana akiwa keshakufa alifia hospitalini mikononi mwa madaktari, wewe unajua utafia wapi?, punguza kufuru za kipumbavu haya unayoandika yanaweza kukutia mkosi.
Chunga sana, punguza utoto unaoonekana kwenye maandiko yako.
Usihofu mbona mama huwa anapata muda wa kupitia maudaku huku mitandaoni hivyo huwa ana relax kabisa.Haya BWANA, ila kiongozi wa nchi lazima apate mda wa kurelax ,siku moja moja wananchi wamuone pale CHAMWINO akipalilia mboga za majani, asiwe Kama mwendazake ,mda wote yupo na mafaili zaidi ya miambili mezani, huku daily ziara kibao , pamoja na tatizo la moyo ila stress zilichangia Sana ambazo alizitaka mwenyewe
Sasa Kama alichanjwa chanjo ya Covid19 kwa Siri, nyie misukule wake mbona mnapinga chanjo!!?Huyo alishachanjwa chanjo ya corona kisirisiri ile ya China sasa nakushangaa unavyosema kafa na corona, mtu ambaye kafa na corona na kifo chake hakina shaka ni Maalim seif wa Zanzibar huyu ndio kaugua corona na akafariki.
Kwani wewe mungu wako yupi yule mungu wa chama mwenye kutawala milele au yule mungu wa sheria kuliko miungu yote ya sheria?