Mwanza: Yaliyojiri kwenye Ziara ya Rais Samia Suluhu. Azindua Kiwanda cha Kusafisha dhahabu na Jengo la (BoT)

Mwanza: Yaliyojiri kwenye Ziara ya Rais Samia Suluhu. Azindua Kiwanda cha Kusafisha dhahabu na Jengo la (BoT)

Serikali ya awamu sita ukiiangalia unaweza kudhani Corona ipo Serikalini tu si mtaani kwa hayo mabarakoa wanayovaa utadhani wapo operation theatre room
Washajifunza,Kuna tahira mmoja aliivimbia Covid19 na kuidharau science, kilichompata imekuwa historia,

Alijimwambafai mbele ya science,
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
HAKUNA JIJI CHAFU ILA WAKAZI WA JIJI NDIO WACHAFU NA WEWE UKIWEMO-ONA AIBU
 
Serikali ya awamu sita ukiiangalia unaweza kudhani Corona ipo Serikalini tu si mtaani kwa hayo mabarakoa wanayovaa utadhani wapo operation theatre room
Hayo yanavaliwa akiwepo Rais tofauti na hapo watu hawana shida na barakoa, sasa sijui Rais ana corona ndio maana wakiwa karibu nae wanajikinga.
 
Ila wapangaji wa ratiba ya Rais mbona hampi mda wa kupumzika daily jamani !! au nae ashauriki? Maana tangu ameapishwa ni M4C
 
Washajifunza,Kuna tahira mmoja aliivimbia Covid19 na kuidharau science, kilichompata imekuwa historia,

Alijimwambafai mbele ya science,
Unamzungumzia Maalim seif?

Barakoa za kuvaa anapokuwepo rais tu huko ndio kujifunza au usanii?
 
Jf imeingiliwa na vizazi vya FACEBOOK, mtu timamu awezi kufurahia kifo cha mtu, ni ujinga na upumbavu tu.
Ila mtu timamu ni yule anakejeli afya ya mtu sindio?????
Nyie wapuuzi simlikuwa mnamkejeli Mzee wa watu Lowasa kuwa hawezi kupewa nchi maana afya yake ipo ICU??!! ETI nchi apewe JPM na isitoshe atake asitake tutamuongezea muda atawale milele!!, Saizi eti mlivyo wanafiki mnajifanya ndio mnajua kuwa Kuna uhai na kifo" bustard
 
Jiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote. Kiuhalisia jiji huwa ni chafu na lisilo na mikakati ya kutunza taswira na hadhi ya jiji, mama akitaka kujua anafanyiwa sanaa ashtukize ziara za kushtukiza maeneo ambayo hakupangiwa ajionee mwenyewe. Ni vibaya kumhadaa kiongozi wa nchi.
Kwanini hukumshauri haya Chalamila?
 
Ila mtu timamu anakejeli afya ya mtu????? Nyie wapuuzi simlikuwa mnamkejeli Mzee wa watu Lowasa kuwa hawezi kupewa nchi maana afya yake ipo ICU??!! ETI nchi apewe JPM na isitoshe atake asitake tutamuongezea muda atawale milele!!, Saizi eti mlivyo wanafiki mnajifanya ndio mnajua kuwa Kuna uhai na kifo" bustard
Kama bingwa wa kushangilia vifo, mbona ushangilii cha Baregu?
 
Namzungumzia mungu wenu ,au mliekuwa mnamuita "CHUMA iko"
Huyo alishachanjwa chanjo ya corona kisirisiri ile ya China sasa nakushangaa unavyosema kafa na corona, mtu ambaye kafa na corona na kifo chake hakina shaka ni Maalim seif wa Zanzibar huyu ndio kaugua corona na akafariki.

Kwani wewe mungu wako yupi yule mungu wa chama mwenye kutawala milele au yule mungu wa sheria kuliko miungu yote ya sheria?
 
Sasa utajuaje kama wanawake wakiwezeshwa wanaweza.
Haya BWANA, ila kiongozi wa nchi lazima apate mda wa kurelax ,siku moja moja wananchi wamuone pale CHAMWINO akipalilia mboga za majani, asiwe Kama mwendazake ,mda wote yupo na mafaili zaidi ya miambili mezani, huku daily ziara kibao , pamoja na tatizo la moyo ila stress zilichangia Sana ambazo alizitaka mwenyewe
 
Kifo ni cha kila mtu mkuu. Unaposhangilia kile cha JPM kumbuka kipo cha kwako ambacho wala hujui kitakufika lini na wapi.

Huyu unayemtukana akiwa keshakufa alifia hospitalini mikononi mwa madaktari, wewe unajua utafia wapi?, punguza kufuru za kipumbavu haya unayoandika yanaweza kukutia mkosi.

Chunga sana, punguza utoto unaoonekana kwenye maandiko yako.

Mkuu tuachaneni na nadharia nyepesi nyepesi hizi kuhusiana na kifo.

Mtumishi mmoja makini wa Mungu alitamka haya:



Pana vifo aina nne:

1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa)
2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa viroba wako hapa)
3. Mapenzi ya Mungu (vya kina Nyerere viko hapa).
4. Vya kijinga (kudharau corona vipo hapa).

Abarikiwe sana mtumishi huyu kwa kutuwekea wazi rejea mantarafu kama hizi.

Cc: Bepari wa Bariadi
 
Haya BWANA, ila kiongozi wa nchi lazima apate mda wa kurelax ,siku moja moja wananchi wamuone pale CHAMWINO akipalilia mboga za majani, asiwe Kama mwendazake ,mda wote yupo na mafaili zaidi ya miambili mezani, huku daily ziara kibao , pamoja na tatizo la moyo ila stress zilichangia Sana ambazo alizitaka mwenyewe
Usihofu mbona mama huwa anapata muda wa kupitia maudaku huku mitandaoni hivyo huwa ana relax kabisa.
 
Huyo alishachanjwa chanjo ya corona kisirisiri ile ya China sasa nakushangaa unavyosema kafa na corona, mtu ambaye kafa na corona na kifo chake hakina shaka ni Maalim seif wa Zanzibar huyu ndio kaugua corona na akafariki.

Kwani wewe mungu wako yupi yule mungu wa chama mwenye kutawala milele au yule mungu wa sheria kuliko miungu yote ya sheria?
Sasa Kama alichanjwa chanjo ya Covid19 kwa Siri, nyie misukule wake mbona mnapinga chanjo!!?
 
Mh. Rais, Mama SSH. Mama uliebarikiwa kuliko wanawake wengi, Mama katika ziara yako hii muhimu sana kanda ya ziwa, wengi tunatarajia kusikia hekima na busara zako katika kuponya Taifa hili haswa kwa mambo ya kishenzi kama ya ukabila, ukanda, upendeleo, ubaguzi, kufifisha mtawanyo wa miradi kitaifa kulingana na vipaumbele n.k. Kanda hii JPM aliitumia vibaya sana kwenye kukuza hayo yote niliyotaja na ambayo sikujaaliwa kuyataja. Mungu akupe nguvu, busara, weledi na uthubutu wa kupambana na hao wahafidhina wachumia tumbo wanaokunguka wasiopenda mabadiliko ili uweze kujua jema na baya kwenye mambo aliyoyaacha JPM, na uone njia sahihi ya kufuata. Mungu mbariki Mh. SSH, bariki Tz, bariki watu wake.
 
Back
Top Bottom