Mwanzilishi wa hotel za Hilton ilibidi alale ofisini kwake ili tu a-utilize kila nafasi iliobaki kwa ajili ya vyumba vya kulala wageni

Mwanzilishi wa hotel za Hilton ilibidi alale ofisini kwake ili tu a-utilize kila nafasi iliobaki kwa ajili ya vyumba vya kulala wageni

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hilton alipoletewa ramani kwa ajili ya ujenzi wa hotel yake ya kwanza alihakikisha kila nafasi iliokuwa imeachwa wazi anaitengenezea kitu cha kumuingizia mapato.

Kama vile lobby iliokuwa imewekwa aliieguza kuwa bar room na sehemu ya kuuzia sigara na vitu vingine vya kufanana ili tu hata wafanyakazi wa kawaida wa mji wanaweza kuja kujivunjari wakitoka kazini.

Hata chumba kilichokuwa kimewekwa kwa ajili yake anapokuwepo maeneo hayo kwa ajili ya usimamizi alikigeuza tena kuwa chumba cha wageni huku akiamua kulala kwenye chumba kilichowekwa kama ofisi yake. (Yaani kilibaki kama ofisi na sehemu ya kulala)

Hii ilipelekea hilton kupata mapato sana na hata baadae kutengeneza empire ya hilton hotels.


908d50362f4a4ef75e53340f9a964970.jpg
 
Mwanangu mmoja tumemaliza chuo mshua ake akamwambia akasimamie Bar moja wapo kwao, akaanza izo tabia.

Aisee, kamwe usilete mazoea. Mbona alinyooka.
Mwingine nae mjua mimi akawa eti wateja wakianza kuwavuta malaya wa bar (ambao anawapenda yeye) eti anapigana na wateja kisa tu yeye ndio msimamizi
 
Hilton alipoletewa ramani kwa ajili ya ujenzi wa hotel yake ya kwanza alihakikisha kila nafasi iliokuwa imeachwa wazi anaitengenezea kitu cha kumuingizia mapato.

Kama vile lobby iliokuwa imewekwa aliieguza kuwa bar room na sehemu ya kuuzia sigara na vitu vingine vya kufanana ili tu hata wafanyakazi wa kawaida wa mji wanaweza kuja kujivunjari wakitoka kazini.

Hata chumba kilichokuwa kimewekwa kwa ajili yake anapokuwepo maeneo hayo kwa ajili ya usimamizi alikigeuza tena kuwa chumba cha wageni huku akiamua kulala kwenye chumba kilichowekwa kama ofisi yake. (Yaani kilibaki kama ofisi na sehemu ya kulala)

Hii ilipelekea hilton kupata mapato sana na hata baadae kutengeneza empire ya hilton hotels.


Ubahiri wote huo kafa na kuziacha.
 
Hilton alipoletewa ramani kwa ajili ya ujenzi wa hotel yake ya kwanza alihakikisha kila nafasi iliokuwa imeachwa wazi anaitengenezea kitu cha kumuingizia mapato.

Kama vile lobby iliokuwa imewekwa aliieguza kuwa bar room na sehemu ya kuuzia sigara na vitu vingine vya kufanana ili tu hata wafanyakazi wa kawaida wa mji wanaweza kuja kujivunjari wakitoka kazini.

Hata chumba kilichokuwa kimewekwa kwa ajili yake anapokuwepo maeneo hayo kwa ajili ya usimamizi alikigeuza tena kuwa chumba cha wageni huku akiamua kulala kwenye chumba kilichowekwa kama ofisi yake. (Yaani kilibaki kama ofisi na sehemu ya kulala)

Hii ilipelekea hilton kupata mapato sana na hata baadae kutengeneza empire ya hilton hotels.


Pesa hazijaagi kama vile namba ambavyo hazina ukomo. Kula beer acha ujinga
 
Back
Top Bottom