elbarik
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 576
- 395
Mwanzilishi wa Jamii Forums Maxence Melo azuiliwa Tanzania
Mwanzilishi wa mtandao maarufu nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla wa Jamii Forums Maxence Melo anashikiliwa na polisi.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Jamii Forums Melo anashikiliwa kwa kukataa kutoa taarifa za watumiaji wa mtandao huo.
Anatarijiwa kufikishwa mahakamani Jumatano asubuhi.
Mwandishi wetu Sammy Awami alizingumza na mwanzilishi mwenza wa Jamii Forums Mike Mushi na alianza kwa kuelezea mwanzo wa kesi hiyo.
Mwanzilishi wa Jamii Forums Maxence Melo azuiliwa Tanzania - BBC Swahili
Mwanzilishi wa mtandao maarufu nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla wa Jamii Forums Maxence Melo anashikiliwa na polisi.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Jamii Forums Melo anashikiliwa kwa kukataa kutoa taarifa za watumiaji wa mtandao huo.
Anatarijiwa kufikishwa mahakamani Jumatano asubuhi.
Mwandishi wetu Sammy Awami alizingumza na mwanzilishi mwenza wa Jamii Forums Mike Mushi na alianza kwa kuelezea mwanzo wa kesi hiyo.
Mwanzilishi wa Jamii Forums Maxence Melo azuiliwa Tanzania - BBC Swahili