Mwanzilishi wa Wikileaks Julian Assange aachiwa huru kutoka gereza la Belmarsh nchini Uingereza ambako amekaa kwa miaka 12

Mwanzilishi wa Wikileaks Julian Assange aachiwa huru kutoka gereza la Belmarsh nchini Uingereza ambako amekaa kwa miaka 12

Du aisee, kwamba Marekani inamiliki visiwa katika bahari ya Hindi, kweli huu ukoloni maomboleo
Ndio hivyo,hata Morocco inaimiliki Jamhuri ya Sahara Magharibi,Uingereza bado inaitawala Canada,Australi na visiwa vya Falklands huko Argentina
 
Back
Top Bottom