Duuh umeingia mitini?......anyway it was a good inspiration
Kwa kuwa umejitahidi kuthubutu, nakupa maswali machache uyajibu. Majibu yake yanaweza kusaidia kupata wajasiliamali wengine kama wewe kwenye forum. Na hapo utaweza kuonekanan umefaulu zaidi.
1. Gharama ya green houce moja ni kiasi gani, na kwa uzoefu wako msimu mmoja unachukua siku ngapi? Mavuna unapata kiasi gani kwa green house.
2. Unaonekana kyumia drip irrigation. Gharama za kuingiza drip irrigation in kiasi gani?
3. Tafadhalii baada ya hapo piga gharama za uzalishaji ili uone profit, return on capital kama vipo poa
Gharama za mradi mzima ni milioni sita na laki tatu, wanatoa banda kamili kwa maana linakuwa na drip pipes, tanki la maji lita alfu moja, gharama hizo ni za ukubwa wa mita 30*8 kwa hesabu za futi moja kila mche ni miche 1200 ya nyanya
Miaka mitatu ilopita nilinunua nusu eka pale mlandizi,nikaweka pilipili kali na kuhakikisha hazitegemei mvua, mwaka uliofuatia nikaweza kununua eka nne hukohuko mlandizi, nililima nyanya nusu ya eneo na lililobaki nikaendelea na pilipili, nyanya zinahitaji maji mengi sana kwa hiyo niliziacha zitegemee mvua, pilipili maji lita kwa wiki yanatosha, Mungu kasaidia mwaka huu nimefanikiwa kujenga greenhouse, nashukuru Mungu malengo yangu yameanza kutimia. Starehe napenda lkn nilijitahidi kuzizuia zisiingilie mipango yangu
attachment ni mfano wa vitu vyenyewe
Miaka mitatu ilopita nilinunua nusu eka pale mlandizi,nikaweka pilipili kali na kuhakikisha hazitegemei mvua, mwaka uliofuatia nikaweza kununua eka nne hukohuko mlandizi, nililima nyanya nusu ya eneo na lililobaki nikaendelea na pilipili, nyanya zinahitaji maji mengi sana kwa hiyo niliziacha zitegemee mvua, pilipili maji lita kwa wiki yanatosha, Mungu kasaidia mwaka huu nimefanikiwa kujenga greenhouse, nashukuru Mungu malengo yangu yameanza kutimia. Starehe napenda lkn nilijitahidi kuzizuia zisiingilie mipango yangu
attachment ni mfano wa vitu vyenyewe
Red na blue zimenikanganya mkuu.. funguka kidogo...Gharama za mradi mzima ni milioni sita na laki tatu, wanatoa banda kamili kwa maana linakuwa na drip pipes, tanki la maji lita alfu moja, gharama hizo ni za ukubwa wa mita 30*8 kwa hesabu za futi moja kila mche ni miche 1200 ya nyanya
Red na blue zimenikanganya mkuu.. funguka kidogo...
as far as i undestand ... green house size: Length =30m x Width=8m ..... plant to plant spacing/interval = one foot
Ngosha...you are officially my idol!
Hongera sana mkuu Mungu akupe nguvu uzidi kufanikiwa it's good to try
Naomba kuuliza hiyo green house ni toka Balton? Vp mbegu ni aina gani? Naona inazaa vizuri sana
Vp kuhusu soko la Pilipili?
Mkuu unaongere anna ipi?KWANZA HONGERA MKULU KWA KUTHUBUTU NA PIA KULETA ISHU APA ILI ATA WALE WALIKUWA WANASITASITA SASA WAANZE MARA MOJA, na wengine tunaoendelea virearchi bubu tuelimike zaidi.
This thing is possible hususan ukipata ile mbegu ya nyanya ambayo inazaa daima (miezi zaidi ya sita).
katika robo eka unavuna kilo zaida ya elf25 kwa semi intensive technology kama ya uyu bwana au had kilo elfu60 kwa intensive technology ya kiyahudi (ipo kenya kwa amrani) google utaipata au Kenya agricultura department.
Kiukweli nafanya utafiti lakini kwa mahesabu ya haraka haraka inaonyesha inalipa.
kwa mfano
uko na shamba, karibu na mto au umechimba kisima.
na alafu umenunua iyo nylon toka kwa wenye mashamba ya maua ambayo ni used (kwa kawaida itatumika tena miaka kama mitatu ivi).
mbegu aina ya anna inapatikana kenya kimfuko cha eka 2 ni sh elf 70 ya tz.
inapandwa miche kama alfu ivi.
inazaa kilo 25-30 kila mche.
uuzaji wa jumla kilo sh 600 x 25,000 x miaka mitatu = 45,000,000 gharama kubwa ni kuanza baada ya hapo kuna gharama ndogo ndogo na inabidi kila siku ujue maendelea ya nyanya kama daktari anavoangalia mgonjwa.
kama huna shamba ingia ubia na wenye mashamba karibu na mji.
kule kenya iyo green house kit inagharimu kama mil4.5 kwa pesa ya tz plus elimu na inputs zingine kama mbolea na irrigation kiti ambayo ni ya gravity.
kama utapanga mambo yako vizuri benki ya equity nasikia wanatoa mkopo kwa sababu wanajua inalipa.
mkuu unaongere anna ipi?
Kama ni ile anna f1 basi hesabu zako ziko wrong sana.......
Nikweli pakti 1 inauzwa elfu sabini.
Lakini pakti 1 haiwezi panda heka 2.
Heka 1 ya anna inachukua miche elfu 9,000-12,000.na kila pakti1 ina uwezo wa kutoa miche 1,000.
Kwahiyo ukipigia kwa miche 9,000 unapa pakti9x70,000xheka2=1,260,000 hizi ni gharama ya mbegu tuu tena sijaweza shipping charge ya mbegu from kenya seed suppliers!
Tuwasiliane kuanzia feb 2013, ijumaa hii naenda zenji kurudi feb
Naomba niwe partner mkuu