Mwanzo mgumu lakini mvumilivu hula mbivu

Mwanzo mgumu lakini mvumilivu hula mbivu

Hongera mkuu. Nimehitaji kufanya kilimo cha namna hii maana kwa utafiti wangu mdogo nimeona kinadharia kuwa kila mmea wa nyanya unaweza kuzaa hadi kilo 25. vipi ni sahihi?

Supply ya mai ikiwa ya uhakika, huwezi kuzikosa mkuu
 
mkuuu umewatia hamasa wengi hasa kwa kuweka picha, japo kwa uhakiki wa haraka haraka hizo picha sio zako hapo ni kwenye maonyesho fulani hivi ya kilimo......je waweza kuweka picha halisi japo ya hiyo nyumba ya mifuko tu?

tunashukuru kwa habari.......kama mnataka ali mtayapata shambani...
 
Miaka mitatu ilopita nilinunua nusu eka pale mlandizi,nikaweka pilipili kali na kuhakikisha hazitegemei mvua, mwaka uliofuatia nikaweza kununua eka nne hukohuko mlandizi, nililima nyanya nusu ya eneo na lililobaki nikaendelea na pilipili, nyanya zinahitaji maji mengi sana kwa hiyo niliziacha zitegemee mvua, pilipili maji lita kwa wiki yanatosha, Mungu kasaidia mwaka huu nimefanikiwa kujenga greenhouse, nashukuru Mungu malengo yangu yameanza kutimia. Starehe napenda lkn nilijitahidi kuzizuia zisiingilie mipango yangu

attachment ni mfano wa vitu vyenyewe
nataka niuze nyumba nianze hicho kilimo
 
Hiyo picha tarehe 8/02/2011
hii story yako 2013 kwanini unajitekenya?
 
Baada ya mafanikio ya kilimo, sasa naanza ufugaji wa kuku wa kienyeji, kwa banda hilo ckosi kuku 2000 kwa mwaka, kila kuku faida ya 5000 c haba. Kuweka malengo ni rahisi sana, kuyafikia ni kitu kingine hasa kwa mjasiriamali
 

Attachments

  • 1403292862704.jpg
    1403292862704.jpg
    73.2 KB · Views: 166
all in all kaka unastahili pongezi unafanya kilimo kwa usasa ubarikiwe sana umetutia moyo sana
 
Nashukuru ndg sawa, determination na focus zinasaidia sana
 
Nashukuru ndg sawa, determination na focus zinasaidia sana

labda utusaidie kwa mahesabu ili tupate uelewa zaidi, gharama za hiyo green house ni shilingi ngapi na ukiisimamia kikamilifu unapata profit kiasi gani kwa mwaka?

na hilo banda la kuku wa kienyeji pia linagharimu shilingi ngapi pamoja na kuku wenyewe, na profit kwa mwaka/mwezi ni how much?

nashukuru kama utanisaidia hayo..
 
Back
Top Bottom