Ibrahimeliza
Member
- Nov 25, 2020
- 37
- 26
Mwanzo ukianza au siku ya kwanza kufanya inauma sanaaa ila siku ya pili utafanya tena pamoja na maumivu ya awali na utagundua siku ya pili maumivu sio kama ya awali, kisha maumivu yatapungua na yatapotea kabisa halaf utaanza kusikia rahaa, mara utakuwa mzoefu na maisha yataenda.
Kila kitu katika maisha kipo hivyo mwanzo unakuwa mgumu.
Kila kitu katika maisha kipo hivyo mwanzo unakuwa mgumu.