Kwa mfano kwenda wapi mkuu?Hii inaitwa third eye awakening ukiiweza vizuri itafunguka hapo were ni kuiongoza direction ya kwenda mkuu,
Iyo root chakra nitaiwekaje vema sasa mkuuMkuu jitahidi ufaulu calmness kwanzo na uiweke vema root chakra,
Je kufanya hivi hakukutoi kwenye dini yako?? Maana tumezoea kuona utamaduni huu ukifanywa na watu wenye asili ya ki asia ambao huamini ktk mungu asiyekuwa muumba.Gumba na cha kati,
Haihusiani na chochote kuhusu bange isipokua state of mind ya bange in drugs lakini meditation sio drug ila ni cure,Hebu nifahamishe uvutaji wa bangi unahusiana na ku meditate mind,nauliza hivyo kwa kuwa kuna siku ilinikuta hiyo hali mkuu ya akili kuhama na kujiona naimba na malaika na kujihisi niko mbinguni......
Haihusiani na chochote kuhusu bange isipokua state of mind ya bange in drugs lakini meditation sio drug ila ni cure,Hebu nifahamishe uvutaji wa bangi unahusiana na ku meditate mind,nauliza hivyo kwa kuwa kuna siku ilinikuta hiyo hali mkuu ya akili kuhama na kujiona naimba na malaika na kujihisi niko mbinguni......
Hapana haimtoi MTU kwenye imani yake ila inamdhatiti kwenye imani yake wengine wakiwa highest state of meditation hujisema wanaongea na mungu Wa ote cause huoni kila aina ya miungu na mfano wenye power ya telepathy huaccess bongo za watu wawili watatu waliokaribu na kuona imani zao zipo wapi na sababu,Je kufanya hivi hakukutoi kwenye dini yako?? Maana tumezoea kuona utamaduni huu ukifanywa na watu wenye asili ya ki asia ambao huamini ktk mungu asiyekuwa muumba.
Mfano mabudha, hinduism nk
Sasa mbongo akiingia kwenye hizo harakati naye awezi kuwa km ni muasi wa dini na imani yake??