Yapo mkuu maana hata mimi nimeyaishi baadhi.hivi haya mambo yapo kweli ama..? naona kama uhayawani!
we umefikia wapi..?Yapo mkuu maana hata mimi nimeyaishi baadhi.
Fanya kufuata maelekezo ushuhudie mwenyewe pasipo kuambiwa
Hii ndio thread pekee inayoweza kumfungua mtu na masuala yote ya meditation
Nautoaje sasa.mana kama nimetishikaHayo mauza uza ndio uchafu uliopo kwenye ubongo wako
Unatumia thumb na middle finga unafyatua kama unaita mtu bila kuongea
Rakims