Mwanzo wa meditation

Mwanzo wa meditation

RAKIMS mi ni kati ya wanafunzi wako ambao tumeathirika sana na hali halisi ya mazingira,Darasa tamu tena tunaelewa sana,kikwazo ni hizo kelele,Hebu tujibu na Mshinyanga kama inaruhusiwa kuziba masikio kwa namna yoyote ili mradi nisibane sana nikapata maumivu....!!

njia Kubwa Ya Kufika Hiyo State Ni Ku Stop Inner & Outer Chattas.. Yani Sauti Za Nje Uzipotezee Jifanye Kama Huskii Na Za Ndani(fikra) nazo uzisimamishe kwa kuwaza kitu kimoja.. Labda namba au pumzi...

Nadhani Pamba ni Msaada Uliosalia Kwa Baadhi Yenu Lakini Msijali.. Soon Taleta Jinsi Ya Kumeditate Kwa Kutumia Binaural Beats Au Mziki Laini Nayo Itasaidia....

#Rakims
 
hahahah! Mawazo Marefu Sana.. Yap Waweza Kuweka Pamba Lakini Swali, Vipi Ukitaka Kutoka Kwenye Huo Ulimwengu Wa Roho.. Kidole Utakiskia Ukigonga?

#Rakims

Sasa mkuu, hivi nikishaingia kwenye huo ulimwengu wa kiroho maana huo ni ulimwengu wa viumbe visivyoonekana hali yakiusalama ikoje? Je hakuna uwekano wa hivyo viumbe viovu kunivamia?

Nakuuliza hili Kwasababu hata biblia inasema akujaye mbele ya uso wa Mungu na ajitakase kwanza. Yaani kabla ya kufanya maombi kwanza ni lazima uombe msamaha wa dhambi ili usiwezee kushambuliwa kiroho na spirits mbaya.

Sasa je kuanza kumeditate before repentance Haina madhara? Asante mkuu, mwanafunzi wako mtiifu hapa.
 
Sasa mkuu, hivi nikishaingia kwenye huo ulimwengu wa kiroho maana huo ni ulimwengu wa viumbe visivyoonekana hali yakiusalama ikoje? Je hakuna uwekano wa hivyo viumbe viovu kunivamia?

Nakuuliza hili Kwasababu hata biblia inasema akujaye mbele ya uso wa Mungu na ajitakase kwanza. Yaani kabla ya kufanya maombi kwanza ni lazima uombe msamaha wa dhambi ili usiwezee kushambuliwa kiroho na spirits mbaya.

Sasa je kuanza kumeditate before repentance Haina madhara?
Asante mkuu, mwanafunzi wako mtiifu hapa.

mkuu Tunauita ulimwengu wa kiroho sio ule Life After Death Hapana.. Huu Ni Ulimwengu Wa Fikra Hakuna Anaeweza Kukudhulu Ukiwa Unafikiria.. Ukiingia Kwenye Meditation unavyoipeleka Ndiko Inakukupeleka Ndio Maana Nimetoa Angalizo Kwamba.

No Visualization,no imagination Just Awareness Only.. Unachofanya Ni Kupunguza Na Kuondoa Mizigo Iliyogandiana Kwenye Ubongo Wako Uwe Na Powerful Brain.. Kuona Spirits Hii Ni Aina Ya Psychic Powers Ambayo Wanayowatu Baadhi Sio Kila Mtu Anaweza Kuona Invisible Spirits.

Hata wale Wanaoziona Zenyewe Huwa Haziwaoni Ikiwa Muhusika Ana Out Body Experience.. Ni Sawa Na Wewe Sasa Ivi Huoni Spirits Zenyewe Zinakuona.. Ukiwa Una Hiyo Power Na Umeingia Huko Nazo Haziwez Kukuona Ila Wewe Utaziona Mkuu....

#Rakims
 
Samahan mkuu,hivi upo uwezekano wa kuonana na wewe Ana kwa Ana....?? Pls RAKIMS nisamehe kama nitakuuzi....!!
 
Darasa sasa linakolea, nilijaribu ku google nikakutana na binaurals beat kuja huku napo tayari nazikuta, zipo hata you tube na kuna app kabisa lkn nasikia sio zote origin. Mwalimu hebu ingiza hicho kipengele kwanza mambo yakae sawa. Tupatie hizo beats zenyewe na namna ya kuzitumia.
 
Darasa sasa linakolea, nilijaribu ku google nikakutana na binaurals beat kuja huku napo tayari nazikuta, zipo hata you tube na kuna app kabisa lkn nasikia sio zote origin. Mwalimu hebu ingiza hicho kipengele kwanza mambo yakae sawa. Tupatie hizo beats zenyewe na namna ya kuzitumia.

kila Benaural Beat Inaenda Na Type Ya Power.. Kuna Telepathy Binaural, Precognition.. Telekinesis n.k ukiwa Na Telekinesis ukatumia beats za precognition Unapotea...!

#Rakims
 
Itabidi ninunue smartphone manake hiki kimchina changu kitanikosesha vitu vitakavyowekwa whatsup. Pa1 sana mwl we2.
 
Samahan mkuu,katka kufuatiria jukwaa hili nimejifunza unayo mengi sana unayajua au kuyafahamu,na hii imetokana na maswari ya wadau,na majibu mengi hayaendelezi sehemu husika,zaid zaid tupo kwenye darasa husika,kuna sehemu umegusia kumtambua mmbaya wako au mtu anaekupenda na mengine naamin yatakuja,sasa mimi kwa Mawazo yangu unao pia utambuzi wa kumjua mtu kuwa anaweza kuw na nguvu za aina frani,ukamsaidia kupitia kuonana nae uso kwa uso

lakini sasa mkuu wengi tunaferi kwani hatujimbui,nikupe mfano,mimi toka umeanza uzi kule kwa pasco mpaka hapa leo umeanza wewe sijafanikiwa hata jambo moja kati ya yooote elimu mliyotoa, kutoka kwa Pasco mpaka wewe, nimefikia hatua naamka saa nane ucku najaribu hakuna kitu

nimejaribu ya koo holà ya pumzi holà, ya mshumaa holà,ya kuangalia sehemu moja bila kukapua macho holà,sa najihisi kama mimi mwilini cna nguvu hizo.....??

Pls msaada wa kuonana na wewe mkuu RAKIMS...!! Nipe nafas ya upendeleo mkuu....!!
 
Ya kuhesabu Nimeanza na 100,99,98 mpaka zéro hakuna,nikaongeza hesabu 200,198,196 mpaka 2 hakuna kitu,na sasa mkuu nimekalili mpaka namba hizo zimekuwa kama wimbo....pls msaada RAKIMS.....!!
 
Back
Top Bottom