Samahan mkuu,katka kufuatiria jukwaa hili nimejifunza unayo mengi sana unayajua au kuyafahamu,na hii imetokana na maswari ya wadau,na majibu mengi hayaendelezi sehemu husika,zaid zaid tupo kwenye darasa husika,kuna sehemu umegusia kumtambua mmbaya wako au mtu anaekupenda na mengine naamin yatakuja,sasa mimi kwa Mawazo yangu unao pia utambuzi wa kumjua mtu kuwa anaweza kuw na nguvu za aina frani,ukamsaidia kupitia kuonana nae uso kwa uso
lakini sasa mkuu wengi tunaferi kwani hatujimbui,nikupe mfano,mimi toka umeanza uzi kule kwa pasco mpaka hapa leo umeanza wewe sijafanikiwa hata jambo moja kati ya yooote elimu mliyotoa, kutoka kwa Pasco mpaka wewe, nimefikia hatua naamka saa nane ucku najaribu hakuna kitu
nimejaribu ya koo holà ya pumzi holà, ya mshumaa holà,ya kuangalia sehemu moja bila kukapua macho holà,sa najihisi kama mimi mwilini cna nguvu hizo.....??
Pls msaada wa kuonana na wewe mkuu RAKIMS...!! Nipe nafas ya upendeleo mkuu....!!