Huo uchoyo sasa mzee baba acha mtoto wa watu ale ashibe mbona mbususu anakupa yote..... Wanaume kwenye mambo ya msosi hatunaga nongwaHi?
Mwanzoni mwa mahusiano alikua hawezi hata kumaliza kuku robo lakini sasa anafanya league ya ujerumani mezani nikipinduka kidogo nikija kurudisha macho kwenye bakuli nakuta samaki kaisha raruliwa pande zote mbili au kama ni nyama nikizubaa naweza ambulia kipande kimoja kwanye bakuli hata hivyo hiyo league hua haiishiagi mezani tu hata kwenye sita kwa sita nako ni moto
Mwambie huyo 😅Huo uchoyo sasa mzee baba acha mtoto wa watu ale ashibe mbona mbususu anakupa yote..... Wanaume kwenye mambo ya msosi hatunaga nongwa
Ikiwa Jambo dogo Kama kujamba mwanamke hajawahi kulifanya mbele yako umeshafikiria Ni mambo mazito mangapi ameyaficha kwako?Mi naweza mwacha MTU pale anapokosa staha na kuanza kuleta mazoea ya kujambajamba ovyo.Kama naweza kuhimili bas nawe weza bhana
Hakuna binadamu asiye na siri yake maishanIkiwa Jambo dogo Kama kujamba mwanamke hajawahi kulifanya mbele yako umeshafikiria Ni mambo mazito mangapi ameyaficha kwako?
Wakwako je?Mwambie huyo 😅
Mwache aongee ukweli wake bana, kwani ni uongo?Huo uchoyo sasa mzee baba acha mtoto wa watu ale ashibe mbona mbususu anakupa yote..... Wanaume kwenye mambo ya msosi hatunaga nongwa
Sema kweliHajawahi kua hivyo, toka day one she has been herself...
Bwana ako anajamba sana auMi naweza mwacha MTU pale anapokosa staha na kuanza kuleta mazoea ya kujambajamba ovyo.Kama naweza kuhimili bas nawe weza bhana
Hakika hakajawahi kua fake...Sema kweli
Hongera madam ShunieHakika hakajawahi kua fake...
She has been real since day one...
Kwa hiyo nin kifanyike?