Mwarabu Fighter naye ameanza kujiposti na hela

Mwarabu Fighter naye ameanza kujiposti na hela

Hivi siku hizi alikuwa anamlinda kiboko ya wachawi au ni mtu mwingine wamefanana
ohoooo, ni yeye yule hadi makapu ya sadaka ndio alikua anabeba cha kufurahisha kuna nguo flani mithili ya kombati kiboko ya wachawi akawapa wavae alipoona wametokelezea nae akaanza kuzitinga yani "braza" kiboko ya wachawi alikua kiboko😆😆
 
Back
Top Bottom