Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆 Imamu Hussein kipenzi cha ndugu yetu alikua na ngamia mmoja tu hakutaka mali mana al duniya al madhara tena ngamia mwenyewe alipewa zawadiImamu hussein alikuwa tajiri mbona hakujiposti...au kulikuwa hamna mitandao?ety kiongozi
ohoooo, ni yeye yule hadi makapu ya sadaka ndio alikua anabeba cha kufurahisha kuna nguo flani mithili ya kombati kiboko ya wachawi akawapa wavae alipoona wametokelezea nae akaanza kuzitinga yani "braza" kiboko ya wachawi alikua kiboko😆😆Hivi siku hizi alikuwa anamlinda kiboko ya wachawi au ni mtu mwingine wamefanana
Itakuwa anavuta mpunga mzuri kutoka kwa lile tapeli la sadakaohoooo, ni yeye yule hadi makapu ya sadaka ndio alikua anabeba cha kufurahisha kuna nguo flani mithili ya kombati kiboko ya wachawi akawapa wavae alipoona wametokelezea nae akaanza kuzitinga yani "braza" kiboko ya wachawi alikua kiboko😆😆
Ila nyinyi mna vituko😆😆😆😆 Imamu Hussein kipenzi cha ndugu yetu alikua na ngamia mmoja tu hakutaka mali mana al duniya al madhara tena ngamia mwenyewe alipewa zawadi
Mwarabu fighter si alikuwa bodyguard wa kiboko ya wachawi lazima aonyeshe
Hajaondoka nae, kaacha Hadi mke alikuwa anaomba Rais amrudishe mumewe arudi TZ kuendelea na utapeliKwa hiyo kaondoka naye