Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mpuuziWalikuwepo miaka yote, walieneza Dini ya Uislamu na utamaduni wao ndicho pekee walichoacha, lakini kwa nini hawakuwahi kuunda National Park ?
Ficha ujinga wako.Waarabu lini walitawala Nchi hii?Hivi shule ulienda kujifunza ujinga?Walikuwepo miaka yote, walieneza Dini ya Uislamu na utamaduni wao ndicho pekee walichoacha, lakini kwa nini hawakuwahi kuunda National Park ?
Walikuwa wanapendelea kuua tembo na vifaru ili wapate pembe kwa ajili ya kutengenezea mikono ya majambia ambayo yalionesha utukufu(heshima) kwa wamiliki.Walikuwepo miaka yote, walieneza Dini ya Uislamu na utamaduni wao ndicho pekee walichoacha, lakini kwa nini hawakuwahi kuunda National Park ?
Kabla ya ukoloni wa wazungu Mwarabu alitawala Zanzibar na Pwani ya Mashariki kuanzia Sofala ya Msumbiji hadi Kismayu SomaliaMara nyingine ni vizuri kukaa kimya na kuficha ujinga ulionao kichwani mwako.
Ni lini mwarabu alitawala nchi hii? Ukijibu swali hilo ndio ujue hifadhi za taifa kisheria zilianza kutengwa rasmi lini, lakini itoshe tu kusema tuna watu wana akili kisoda za kuwawezesha kuvuka tu barabara.
Kumbuka Mwarabu alifika ardhi yetu ikiwa bikra, yani ilikuwa ni misitu na wanyama tu, unaambiwa enzi hizo msitu ulikuwapo hadi hapo kisutu, yani simba walikuwa wapo hadi magomeni, chui wapo hadi kigamboni, papa wapo hadi fukwe za mbezi beach, chatu wapo hadi Msasani, sasa kwa msingi huo national park za nini na ilibidi ardhi itumike kufanya mazingira bora ya kuishi, kumbuka binadamu sio mnyama pori.Walikuwepo miaka yote, walieneza Dini ya Uislamu na utamaduni wao ndicho pekee walichoacha, lakini kwa nini hawakuwahi kuunda National Park ?
Kumbuka Mwarabu alifika ardhi yetu ikiwa bikra, yani ilikuwa ni misitu na wanyama tu, unaambiwa enzi hizo msitu ulikuwapo hadi hapo kisutu, yani simba walikuwa wapo hadi magomeni, chui wapo hadi kigamboni, papa wapo hadi fukwe za mbezi beach, chatu wapo hadi Msasani, sasa kwa msingi huo national park za nini na ilibidi ardhi itumike kufanya mazingira bora ya kuishi, kumbuka binadamu sio mnyama pori.
Vipi we ni mwarabu?We ni mpuuzi
Ndo maana Uzi umepuuzwa pia
Hatari snWalikuwepo miaka yote, walieneza Dini ya Uislamu na utamaduni wao ndicho pekee walichoacha, lakini kwa nini hawakuwahi kuunda National Park ?
GuessVipi we ni mwarabu?
Mwarabu hajawahi kutawala Tanganyika.Mtawala wa kwanza wa Tanganyika ni mjerumani,mjerumani akamwachia mngereza,kutawala.Hivi huko shule ulikwenda somea nini?Ambapo hujui,hata watawala waliotawala Tanganyika.Walikuwepo miaka yote, walieneza Dini ya Uislamu na utamaduni wao ndicho pekee walichoacha, lakini kwa nini hawakuwahi kuunda National Park ?