MWAUWASA mjitafakari

SirBonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2010
Posts
378
Reaction score
435
Toka mmetoa hilo tangazo zaidi ya wiki 2 zilizopita, Kuna maeneo ya Jiji la Mwanza maji hayajawahi kutoka kabisa hata tone.

Hivi kweli tumefika Huku? mnategemea watu wanaishije mjini tena bila maji?

Inachukua muda gani kutengeneza Pampu ya maji? Kwenu hii sio dharura?

Nadhani mnahitaji kustuliwa kidogo muamke

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…