saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DOUH ASANTE SANA KIPARASMwekezaji Mzawa wa Kiwanda cha kuzalisha nguzo za umeme cha TAWOODS, Peter Mwera amelazimika kufunga kiwanda chake baada ya kupata hasara ya zaidi ya shilingi bilioni moja kutokana na kukosa huduma ya umeme.
Chanzo: Gazeti la Sauti ya Mara
Now days tupo bze na Asali...Amekosa umeme au soko? Maanake Tanesco sasa hivi wanatumia nguzo za zege. Kuna kiwanda cha saruji Tanga nacho kina tatizo la umeme. What's going on in this country?
Tutamkumbuka tu! 😆Amekosa umeme au soko? Maanake Tanesco sasa hivi wanatumia nguzo za zege. Kuna kiwanda cha saruji Tanga nacho kina tatizo la umeme. What's going on in this country?
Atakuwa amehujumiwa na wale wenye kiwanda cha nguzo za concrete maana wale wamiliki ni vigogo wa nchiMwekezaji Mzawa wa Kiwanda cha kuzalisha nguzo za umeme cha TAWOODS, Peter Mwera amelazimika kufunga kiwanda chake baada ya kupata hasara ya zaidi ya shilingi bilioni moja kutokana na kukosa huduma ya umeme.
Chanzo: Gazeti la Sauti ya Mara
🐝🍯🍯🍯Amekosa umeme au soko? Maanake Tanesco sasa hivi wanatumia nguzo za zege. Kuna kiwanda cha saruji Tanga nacho kina tatizo la umeme. What's going on in this country?
Mkuu huko kwenu bila shaka rais bado KikweteHizo nguzo za zege zinatumiaka wapi!? mimi huku mkoani nilipo sijawai ona nguzo za zege
Nipo Arusha lkn sijawhi kuona hizo nguzoHizo nguzo za zege zinatumiaka wapi!? mimi huku mkoani nilipo sijawai ona nguzo za zege
Hata kama hawataki.Tutamkumbuka tu! 😆
Comment yako hii yafaa kufunga uziYawezekani hivi viwanda vya nguzo vinahujumiwa makusudi ili wahuni waanze tena kuangiza nje kwa 10%
Ngoja niingie seven eleven ninunue late night keno na totoHata kama hawataki.
Tuone kama utashinda hiyo kamari😂Ngoja niingie seven eleven ninunue late night keno na toto
Mwekezaji Mzawa wa Kiwanda cha kuzalisha nguzo za umeme cha TAWOODS, Peter Mwera amelazimika kufunga kiwanda chake baada ya kupata hasara ya zaidi ya shilingi bilioni moja kutokana na kukosa huduma ya umeme.
Tanesco sasa hivi wanatumia nguzo za zege. Kuna kiwanda cha saruji Tanga nacho kina tatizo la umeme. What's going on in this country?