Mwekezaji inabidi ampe Diamond takriban nusu ya faida ili kutumia jina la WASAFI lasivyo apambane kivyake

Mwekezaji inabidi ampe Diamond takriban nusu ya faida ili kutumia jina la WASAFI lasivyo apambane kivyake

Wewe unaweza kumpa mtu umiliki wa biashara yako Kwa asilimia ngapi Kwa kutumia jina lake tu? Yani ugharamie kila kitu yeye aweke jina tu?
Inategemeana na ukubwa wa jina pamoja na exposure aliyonayo

Mtu kama drake, ukitaka kuingia ubia naye itakuhitaji ugharamie gharama zote za hiyo biashara afu naye umlipe pesa kwa ajili ya kusaini hilo deal, wakati huo bado hamjakubaliana asilimia atakayokuwa anachukua
 
Ila unapoanzisha brand au kampuni jina nzuri nayo inachangia na inavuta wawekezaji.

Imagine harmonize aje na
Konde tv
Konde fm
Kondebet
Konde karanga

Ni ngumu hata kuvutia wawekezaji
Konde mbona jina zuri, kuna makampuni yana majina so weird mpaka inaboa

Kuna kampuni moja linajiita Analtech na lingine linaitwa Fuk Mi Sushi.
 
Konde mbona jina zuri, kuna makampuni yana majina so weird mpaka inaboa

Kuna kampuni moja linajiita Analtech na lingine linaitwa Fuk Mi Sushi.
Hayo majina ni shida
 
Kwa sasa shares za Wasafi obviously ndiyo zinazomuingizia pesa nyingi zaidi ya muziki wake, Kibongobongo hata ndinga anazomiliki kwa muziki peke yake it's not easy.
Sasa mtu wa hivo ni ngumu wasanii wengine kushindana nao ,maana anaingiza hela nyingi nje ya mziki,ndo maana kwenye hela ana tofauti kubwa sana na wasanii wengine
 
Kwenye Wasafi TV ana asilimia ngapi na alichotoa ni jina tu, Diamond hawezi kukubali jina la Wasafi litumike kwa chini ya 40% ya shares.
Anajua ukubwa wa brand yake, it's take it or leave it na ujue hizo kampuni ndiyo zinazidi kuikuza brand ya Wasafi.
Hawezi kukubali kwa nini? Ishu hapa sio kwamba hana hizo hisa au jina la wasafi kuwa halina thamani, mgogoro wetu ni kama hizo hisa zimepatikana kwa kutoa jina tu?
Niliwahi kuona interview yake anasema ameingia gharama nyingi wakati inaanzishwa kwa wastan wa m.100 kwa mwezi. Nitaitafuta niiweke hapa.

Hoja yako inawezekana kwenye nadharia ila kivitendo inaacha mashaka mengi sana. Labda utoe mfano sio tu wa msanii bali wa kampuni au hata mwanamichezo aliewahi kupewa 40% ya hisa kwa kutumia jina lake tu? Mfano uwe popote pale duniani.
 
Inategemeana na hilo jina lina manufaa gani kwenye biashara.
Cocacola wakiniambia tumia jina letu kwenye vinywaji vyako ntawapa hata 60% of shares mm nibakiwe na 40%.

Utaratibu wa kugawana hasara ni LTD to company assets.

The question is too general. Uendeshaji wa biashara unategemeana na business plan na memart zinavyoelekeza.

The question is too wide. Ni kama vile unauliza mambo kuonyesha kuwa una uelewa mpana wa mambo ya biashara. Sasa sijajua kama unagoogle au uelewa unao kweli. Ila nikiangalia historia ya hoja naweza weka assumption kuwa unagoogle. Forgive if I am wrong.
Nilitegemea uniambie hujawahi ku practice biashara kulingana na unavyoweka huo mlinganisho wa shares. Nilidhani pia Kwa muktadha wa uzi huu kwamba Labda unazumgumzia economic profits pekee au share kwenye faida pekee.

Mkuu Kwa huo mfano wako wa coca kwamba unaweza kuwapa 60% ya uwekezaji wako for just their brand name umetisha.

Nina accreditation za business law and contracts management. Na mengine pia kadhaa. I was just probing kujua unachoweka hapa unauelewa nacho in practice au Kuna ushabiki.. Na ndio maana sikutaka kuconnect my views na hii maada. Kuondoa mahaba Kwa huyo kijana.
 
Inategemeana na ukubwa wa jina pamoja na exposure aliyonayo

Mtu kama drake, ukitaka kuingia ubia naye itakuhitaji ugharamie gharama zote za hiyo biashara afu naye umlipe pesa kwa ajili ya kusaini hilo deal, wakati huo bado hamjakubaliana asilimia atakayokuwa anachukua
Hizo biashara za kwenye tabloids mnazungumzia au biashara za kwenye real world?
 
Kwenye Wasafi TV ana asilimia ngapi na alichotoa ni jina tu, Diamond hawezi kukubali jina la Wasafi litumike kwa chini ya 40% ya shares.
Anajua ukubwa wa brand yake, it's take it or leave it na ujue hizo kampuni ndiyo zinazidi kuikuza brand ya Wasafi.
Una uhakika gani kuwa ametoa jina tu hamna hela aliyoweka hapo Wasafi Media??
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Nilitegemea uniambie hujawahi ku practice biashara kulingana na unavyoweka huo mlinganisho wa shares. Nilidhani pia Kwa muktadha wa uzi huu kwamba Labda unazumgumzia economic profits pekee au share kwenye faida pekee.

Mkuu Kwa huo mfano wako wa coca kwamba unaweza kuwapa 60% ya uwekezaji wako for just their brand name umetisha.

Nina accreditation za business law and contracts management. Na mengine pia kadhaa. I was just probing kujua unachoweka hapa unauelewa nacho in practice au Kuna ushabiki.. Na ndio maana sikutaka kuconnect my views na hii maada. Kuondoa mahaba Kwa huyo kijana.
Nimekuelewa Amari.
 
Kwa bakhresa nilikuwa silijui hilo ndio leo nimejua. Ni kampuni yapi ambayo yanatumia jina la bakhresa yakiwa sio yeye mmiliki
Sahihi, anakuwa mmoja wa wamiliki kwa kuwa shares hapo.
 
Jina ndio ushawishi wenyewe huo. Kama unamaanisha connections serikalini hiyo mbona hata hawamuhitaji Diamond, kuna watu kibao wa kutoa hizo connections kwa bei rahisi tu.

Diamond amechukuliwa sababu wasafi inafahamika hivyo ni rahisi kujulikana bidhaa yako kwa muda mfupi. Kuna njia nyingine za kuitangaza kampuni ijulikane haraka ambapo huhitaji hata kutoa hisa hata moja kwahiyo sio kwamba kuchukuliwa kwa wasafi maana yake hakuna mbadala wao. Jina la wasafi lina thamani ila sio hiyo ya 40%

Tuje kwenye uhalisia wa biashara. Unaweza kurisk 40% ya hisa zako kwa ajili ya jina tu wakati hujui kama hiyo pesa itarudi au lah? Na kama itarudi, je itarudi na faida ile ile uliyoitegemea au lah.
Leo Azam ni chapa maarufu sana, na ana market share kubwa. Hakuna bidhaa atayoleta sokoni ikashindwa kutoboa.

Leo ukianzisha biashara mpya ukitaka iwe na chapa ya Azam, utaifikisha sokoni haraka zaidi , kuliko ungefanya mwenyewe.

Ili Azam afanye kazi na wewe, utampa asilimia ya shares(equity share) kwenye hiyo biashara/bidhaa yako
 
Leo Azam ni chapa maarufu sana, na ana market share kubwa. Hakuna bidhaa atayoleta sokoni ikashindwa kutoboa.

Leo ukianzisha biashara mpya ukitaka iwe na chapa ya Azam, utaifikisha sokoni haraka zaidi , kuliko ungefanya mwenyewe.

Ili Azam afanye kazi na wewe, utampa asilimia ya shares(equity share) kwenye hiyo biashara/bidhaa yako
Kuna utofauti gani ulichoandika na ulichoniquote?
 
Nimeku-quote bahati mbaya, it was just my opinion.
Naelewa ni mawazo yako, taswira unayoijenga haipo kwenye mazingira ya kawaida ya biashara. Huwezi kuwa mfanyabiashara mdogo alafu Bakhresa akubali utumie jina lake, hiyo faida utapata shs ngapi ya kumpa yeye? Na kama ni mfanyabiashara mkubwa kwanini utoe 40% ya hisa wakati unaweza kutangaza biashara yako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom