Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Rwanda tumepeleka baadhi ya wabunge wetu kujifunza jinsi ya kuhifadhi fweeza kwenye fuko moja maana wao na uganda ndio loremodel wetu kwa kila kitu
Si huwa mnasema nchi haiwezi kupata maendeleo kwa kutegemea wawekezaji?
Halafu uko Ubeligiji si ndio hao wanaonuhifadhi mhaini Tundu Lisu, mnakaribisha mabeberu na wanyonyaji?
Kwa nini tusitafute wawekezaji kutoka Rwanda?