Mshimba1971
Member
- Dec 13, 2021
- 75
- 67
- Thread starter
-
- #21
Nashukuru sana kwa mawazo yako na nimefanyia maboresho kidogo hasa kuweka wazi naitaji mchango wa vifaa sio lazima pesa tasilimu na pia vifaa vitakua mali ya aliechangia na anaweza kuchukua baada ya mradi kuisha au msimu wa kulima mbogamboga kwa faida kuishaNiliona niseme jambo kupitia idia yako kuna mtu inaweza kumsaidia.pia umesema faida ya jumla una maanisha nni?moja hiyo @2,000,000/=kama faida + hela aliyo wekeza au ni julma pamoja na hela aliyo wekeza na kama ndo hivi inamaana mwekezaji atavuna 1,200,000/=kwa mda huo.sijui kama umenipata hapo.kwamsaada kwa MWENYE uhitaji pia
Shida iliopo mkuu msimu wa mbogamboga ni sasa mpaka april, bank nitaitaji mwezi 1 au 2 kupata mkopo wa laki 8. Hapa naweza pata hata mtu mwenye vifaa tayari akaleta tukaanza kazi sio lazima hela cashAfu benki riba ni ndogo Sana. Milioni moja kwa mwaka anawalipa laki na sabini faida Yao basi.kuliko kuumia na hela za watu mkuu.
Nashukuru nimekuelewa hili ndo tatizo linalo tusumbua watu wengi.unapokuwa tumekwama tunahitaji msaada ukisha fanikisha unahachana na unamsahau aliye kushika mkono mwanzo.kwa mantiki umesha pata mtaji.MUNGU akutangilie ktk wazo lako ila usifanye kama nilivyosema hauta sogea popote.wala usijione kwakuwa una idia ya kazi hiyo na umekwama ukisha fanikiwa unamtema partner wako.ukifanikiwa kumpata usimtende mpange mipango zaidi muendelee ila kilichojificha kiondoe.Mkuu uko sahihi na ahsante kwa kupanua wazo langu. Muwekezaji atawekeza Mashine na Mipira ya mita 100. Hii itakua bado mali yake akiitaji kuchukua baada ya miezi minne(kwani msimu wa mboga mboga unaisha mwezi wa 4 au 5) hilo ni sawa kwangu. Akitaka kuendelea kwenye kilimo cha nyanya mwezi wa 5 au tutafanya makubaliano mapya. Naitaji uwekeza wa vifaa sio lazima hela cash.
Nimekupata Ila kwani hukuyajua hayo kabla ya kuanza kazi nduguShida iliopo mkuu msimu wa mbogamboga ni sasa mpaka april, bank nitaitaji mwezi 1 au 2 kupata mkopo wa laki 8. Hapa naweza pata hata mtu mwenye vifaa tayari akaleta tukaanza kazi sio lazima hela cash
Kwenye mradi kuna variables huwezi kucontrol, mipira imepanda pei kwa zaidi ya 60% na mashine pia kwa 30%(ndani ya mwezi Dec/Jan), wakati wa kupanga mradi bei ilikua chini.Nimekupata Ila kwani hukuyajua hayo kabla ya kuanza kazi ndugu
Sure!, Sasa kwa faida hiyo hata riba ikiwa 60% bado anabaki na balance yake.Hivi hamjawahi kuona uzi kama huu?
Nafikiri kuna member akasema si ukakope benki ili faida iwe yako peke yako?