Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji, Awaonesha Mashabiki Ramani Mpya ya Mo Simba Arena

Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji, Awaonesha Mashabiki Ramani Mpya ya Mo Simba Arena

Uwanja mpya unajengwa kabla wa zamani haujakamilika
Hope mwakani kutakuwa na ramani ya uwanja mpya tena
 
Wanaweza nunua maeneo tofauti na kujenga kisha kuvikodisha Kwa timu silazima viwe vya timu husika,sema havijawa kipaombele kwao
 
Hiyo arena itakuwa mali yake sio ya Simba na ndio maana ina jina lake.

Siku akiamua kusepa, Simba hawana chao.
kvp uwe mali yake wakati huo uwanja ni mali ya simba huko bunju ulinunuliwa na hasan dalali..
 
yaani ujenge viwanja 4 vyenye hadhi sawa eneo moja tena kwa kuvibananisha hivyo..watu wa nchi hii mipango yao ziro kabisa!
 
Yale yale ya kuinunua timu jwa bilioni 20 za kwenye makaratasi!! Na utashangaa bado kuna mbumbumbu wataamini huu uongo mwingine wa mwekezaji!
 
yaani ujenge viwanja 4 vyenye hadhi sawa eneo moja tena kwa kuvibananisha hivyo..watu wa nchi hii mipango yao ziro kabisa!
Acha ujuaji kwenye vitu usivyovijua ndugu yangu.Viwanja vya mazoezi vinajengwa hata 10 kwa mtindo huo kwa maana nin kwaajili ya mazoezi na mechi za ndogo za mazoezi.Kama kweli mtu wa football fuatilia pale Crrington uwanja wa mazoezi wa machester United kuna viwanja vngapi na vimekaaje cheki hapo
1728219818833.png



au Etihad Campus wa Manchester City huo hapo ch
1728219723723.png
hesabu viwanja hapo.
 
Jamani hayo ndo maendeleo tunayoyataka kama vile cobham pale Chelsea au Ettihad Campus pale Man City au Carrington pale Man United
 
Mods wangetusaidia kubadilisha heading isomeke RAIS WA HESHIMA WA TIMU YA SIMU AENDELEA KUJENGA UWANJA WA MPIRA WA KLABU YA SIMBA KWENYE MAKARATASI!
 
Usimba na Uyanga usiwafanye mkawa Wapuuzi na Wajinga wajinga na chuki zenu za Kimasikini. Mbona Mo Dewji mwenyewe yuko postive sana pale Yanga wanapofanya vizuri na huwa hafichi hisia zake? Lakini Mishabaki ya Utopolo humu mitandaoni ni ya hovyo hovyo sana. Kumsema au kumtukana Mo Dewji hakumpunguzii chochote. Mashabiki wa Utopolo acheni chuki na negativity za Kimasikini nyinyi. Mo Dewji akijenga hivyo viwanja na nyinyi mtakuja kutumia tu.
 
Na kwa Mkapa utaingiza vipi mapato?
Mbona KMC wamejenga we unadhani Simba na Yanga hawana uwezo wa kujenga viwanja vyao ?
Simba hawana uwezo huo. Mwambie kwamza atuambie pesa zetu za michango kwa ajili yankujenga uwanja ziliishia wapi?
 
Simba hawana uwezo huo. Mwambie kwamza atuambie pesa zetu za michango kwa ajili yankujenga uwanja ziliishia wapi?
Mchakato unacheleweshwa na serikali sasa Simba zile hisa zishauzwa au unaropoka tu???
Huwezi ukahoji 20 Billion Utopolo kama wewe wakati wewe huna hata hisa moja.
 
Mfumo, mfumo, mfumo, mfumo, mfumooooooo, wana Simba mtajuta kupata mwekezaji tapeli
 
Back
Top Bottom